Kadinari pengo mapadre wamenifungia milango

Kadinari pengo mapadre wamenifungia milango

Status
Not open for further replies.
Hiyo ni Karma na hutabaki salama mpaka ukatubu makosa yako, kila siku kuandika povu lako humu haitokusaidia kitu, na mbaya zaidi unaandika title za kichochezi tu humu. Tatizo ni wewe .
 
Kwann wanamfanyia roho mbaya lkn, mnafaham Deo anakitu anakikomuniket sio masikhara tu.

Kwann JF tusiunde Team ya Great Thinkers ambao wataonana na Kisandu ili wapate maelezo ya kina ya dududuku zake zote ili tuone tunamsaidiaje ndugu yetu huyu, haya mambo anayolipuka na kuyalalamikia nafkir yanamsababishia msongo wa mawazo na hasa kama kuna mkwamo flan m.f wa kifedha bas anazidi kudata na kuona kwamba kuna watu wanamsababishia.

Nawasilisha
 
Una watoto halafu wakakufungia milango mbona hueleweki? Labda ndoa, sacramenti au nini? Makanisa yapo mengi si uhame? Sasa elimu yako ni kikwazo gani? Jiongeze uwe na maamuzi yako yanayojitegemea
Braza usiumize kichwa kwa huyo mjamaa toka ahame cdm dish likaanguka kabisa na wala halipatikan lirekebishwe, by the way eti ni mwalimu pia
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom