GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,036
- 126,519
NAOMBENI HUU UZI UFUTWE AU MUEDIT VICHWA VYA HABARI UMEKAA KICHOCHEZI ....moderator huwa mnafuta mambo ya maana sielewi hili mnaliacha Kwa faida ipi; Futeni huu Uzi hauna maana
Wala usipate taabu nae Mkuu na huna haja ya kuwaomba Moderators wautoe huu ' uzi ' kwani wenye akili zetu tumeshajua ya kwamba kauanzisha ' makusudically ' kabisa ili kulichafua Kanisa langu / letu Katoliki na kwamba ana ' Agenda ' yake ya Siri hivyo Sisi wenye ' Ukatoliki ' wetu timilifu tutamfundisha jinsi ya kuwa na adabu na umakini hasa linapokuja suala zima la dini au imani au dhehebu la Watu. Atakipata tu anachokitafuta kutoka kwa Wakatoliki na bahati nzuri sana tupo / tumo wengi tu humu Jamvini.