Kadinari pengo mapadre wamenifungia milango

Kadinari pengo mapadre wamenifungia milango

Status
Not open for further replies.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,390
Mapadre wote wa kanisa katoliki nchi nzima wameungana tangu mwaka 1998 kuniwekea vikwazo na kuhakikisha sifanikiwi. Na poandika hapa nikuwa pia wanapotosha elimu yangu kwa maslahi yao, mimi nimesoma chuo kikuu cha SEKUCo cha Lushoto lakini wao wanasema ni SAUT, naomba elimu yangu isiwe kikwazo kwa kanisa, hivyo ni bora nifunguliwe milango, mimi tayari nina watoto natakiwa kulea watoto wangu, naomba sana baba Pengo ingilia kati. NIMECHOKAAAA

Ndimi, DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
 
Mapadre wote wa kanisa katoliki nchi nzima wameungana tangu mwaka 1998 kuniwekea vikwazo na kuhakikisha sifanikiwi. Na poandika hapa nikuwa pia wanapotosha elimu yangu kwa maslahi yao, mimi nimesoma chuo kikuu cha SEKUCo cha Lushoto lakini wao wanasema ni SAUT, naomba elimu yangu isiwe kikwazo kwa kanisa, hivyo ni bora nifunguliwe milango, mimi tayari nina watoto natakiwa kulea watoto wangu, naomba sana baba Pengo ingilia kati. NIMECHOKAAAA

Ndimi, DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.

Ukiona Mapadre tena hasa wa Kanisa Katoliki hawakukubali jua ya kwamba una matatizo makubwa ambayo hata Mwenyezi Mungu akipelekewa na Yeye yatamshinda na atamuachia tu Lucifa ( Shetani Mkuu ) amalizane nayo.
 
Una watoto halafu wakakufungia milango mbona hueleweki? Labda ndoa, sacramenti au nini? Makanisa yapo mengi si uhame? Sasa elimu yako ni kikwazo gani? Jiongeze uwe na maamuzi yako yanayojitegemea
 
NAOMBENI HUU UZI UFUTWE AU MUEDIT VICHWA VYA HABARI UMEKAA KICHOCHEZI ....moderator huwa mnafuta mambo ya maana sielewi hili mnaliacha Kwa faida ipi; Futeni huu Uzi hauna maana
 
Angalia sana tabia za kufungiana mlango si nzuri.. TCRA wanakwambia sema Sitaki usinitumie.....
 
Mapadre wote wa kanisa katoliki nchi nzima wameungana tangu mwaka 1998 kuniwekea vikwazo na kuhakikisha sifanikiwi. Na poandika hapa nikuwa pia wanapotosha elimu yangu kwa maslahi yao, mimi nimesoma chuo kikuu cha SEKUCo cha Lushoto lakini wao wanasema ni SAUT, naomba elimu yangu isiwe kikwazo kwa kanisa, hivyo ni bora nifunguliwe milango, mimi tayari nina watoto natakiwa kulea watoto wangu, naomba sana baba Pengo ingilia kati. NIMECHOKAAAA

Ndimi, DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
Wewe si ulisema unataka kumuoa mtoto wa kagame?.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom