Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
Mapadre wote wa kanisa katoliki nchi nzima wameungana tangu mwaka 1998 kuniwekea vikwazo na kuhakikisha sifanikiwi. Na poandika hapa nikuwa pia wanapotosha elimu yangu kwa maslahi yao, mimi nimesoma chuo kikuu cha SEKUCo cha Lushoto lakini wao wanasema ni SAUT, naomba elimu yangu isiwe kikwazo kwa kanisa, hivyo ni bora nifunguliwe milango, mimi tayari nina watoto natakiwa kulea watoto wangu, naomba sana baba Pengo ingilia kati. NIMECHOKAAAA
Ndimi, DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
Ndimi, DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.