Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,525
- 4,090
Si itahitaji password? Atatoa wapiNamba za kadi zikichukuliwa na mtu mwingine utakuwa unamlipia shopping zake zote hivyo suala la fedha benki ni la mteja na benki yake na siyo la kuanika JF au kwa mtu mwingine tofauti na benki