PintoG
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 612
- 731
Toa ujinga hapa vitu vyote vyategemeana..huyo daktari bila mkulima ataishije?? Bila mwalimu angefika hapo???Kama kuna vitu zaidi ya kimoja ulinganifu haupo, tukubali tu daktari na Engineers wanagusa maish ya watu directly.
Moja ameweka ubunifu duniani na kuwa rahisi ktk maisha yetu na mwingine anakarabati miili yetu.
Hizo ndo kozi muhimu hapa duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app