Andie
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 713
- 1,641
Kutokana na janga hili ni wazi madaktari na wauguzi wamekua wakijitoa kweli kweli, pongezi kwao.
Lakini napenda kukumbusha kua wanachofanya ni wajibu wao, hawajatupendelea kututibu. Kumekua na wimbi la watu kuwatukuza madaktari huku wengine hata wakidiriki kupendekeza eti mishahara ya kada zingine ipunguzwe waongezewe madaktari.
Hivi vita ikitokea mbona wanajeshi sio kujitolea tu kufanya kazi kama madaktari wao hujitolea uhai wao kabisa kwaajili ya watu wengine na hua wanapongezwa ila "hawaabudiwi" kama kinachotokea kwa madaktari.
Wakulima ndio WANATULISHA bila wao ni kufa kwa njaa ila hua tunawathamini kwa mchango wao ila "hatuwaabudu" kama kinachofanywa kwa madaktari.
Iwe wazi madaktari wanafanya kazi nzuri wanahitaji pongezi kama kada nyingine ila sio kusujudiwa. Wanachofanya ni wajibu wao. KILA MTU ANA UMUHIMU SAWA.
Lakini napenda kukumbusha kua wanachofanya ni wajibu wao, hawajatupendelea kututibu. Kumekua na wimbi la watu kuwatukuza madaktari huku wengine hata wakidiriki kupendekeza eti mishahara ya kada zingine ipunguzwe waongezewe madaktari.
Hivi vita ikitokea mbona wanajeshi sio kujitolea tu kufanya kazi kama madaktari wao hujitolea uhai wao kabisa kwaajili ya watu wengine na hua wanapongezwa ila "hawaabudiwi" kama kinachotokea kwa madaktari.
Wakulima ndio WANATULISHA bila wao ni kufa kwa njaa ila hua tunawathamini kwa mchango wao ila "hatuwaabudu" kama kinachofanywa kwa madaktari.
Iwe wazi madaktari wanafanya kazi nzuri wanahitaji pongezi kama kada nyingine ila sio kusujudiwa. Wanachofanya ni wajibu wao. KILA MTU ANA UMUHIMU SAWA.