GE2025 Kada wa CCM ageuka mbogo sakata la uteuzi wa wagombea ubunge, majina hayakufika Dodoma

GE2025 Kada wa CCM ageuka mbogo sakata la uteuzi wa wagombea ubunge, majina hayakufika Dodoma

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235

View: https://youtu.be/BhcymOXCtEM

Kamati kuu ya Chama wajaribu kurudia na kutazama upya mchakato wa kuteuwa wagombe wa Ubunge hususani kutoka Jimbo la Meatu ili haki itendeke zaidi.

Ambapo viongozi wa chama waje Jimbo la Meatu wasikilizeni wananchi kilichokuwa kinafanyika, ambapo viongozi wa chama wanaweka pamba masikio awataki kusikia na wanachokisia wanakiamini hicho hich.

Wao ni wawakilishi wa chama ila wenye nguvu ni sisi wanachama wa kawaida ambapo lazima tuwasikilize wanachama
 
😂 Kumekucha 😂

Reforms zinahitajika kila mahali 😂
 
Inaelekea mleta mada kiswahili kinakupiga chenga. Amegeuka mbogo wapi wakati anaongea vizuri tu tena kwa hekima?
 
Screenshot_20250615-124601~2.png
 

View: https://youtu.be/BhcymOXCtEM

Kamati kuu ya Chama wajaribu kurudia na kutazama upya mchakato wa kuteuwa wagombe wa Ubunge hususani kutoka Jimbo la Meatu ili haki itendeke zaidi.

Ambapo viongozi wa chama waje Jimbo la Meatu wasikilizeni wananchi kilichokuwa kinafanyika, ambapo viongozi wa chama wanaweka pamba masikio awataki kusikia na wanachokisia wanakiamini hicho hich.

Wao ni wawakilishi wa chama ila wenye nguvu ni sisi wanachama wa kawaida ambapo lazima tuwasikilize wanachama

Tukiwambia CCM ya sasa ni genge la wahuni na wanyang'anyi mnajifanya vichwa maji , msitupigie kelele.
 

 
Hawa Waandishi wa habari hewa sijui wako media Gani!??
 
Back
Top Bottom