Kada mwingine ajiondoa CCM Njombe Mjini

Kada mwingine ajiondoa CCM Njombe Mjini

Hua nakuheshimu sana,lakini siamini kama na wewe ni mchumia tumbo kiasi cha kupumzisha kichwa chako kufanya kazi sawa sawa,jiheshimu acha kutumika kutukana makabila ya watu tena tulio jitambua na kuamua kujikomboa na mkoloni mweusi,wabena is not cheap as you coward think,kua mzalendo hata wajukuu watajivunia kua na babu kama wewe,twitanghe vabena vayanghu.
 
Laki si pesa unajidhalilisha kwa kuamua pumzisha kichwa chako kufikiri sawa sawa,waache wapenda mabadiliko waishi mausha yao,na wewe uishi maisha yako yale unayoyapenda hata kama ni mnufaika wa magamba na mifumo yake,na uheshim makabila ya wenzako acha kutukana,
 
nashukuru sana niliwaambia hawa maccm kwamb hii mbegu ya kuita cdm ni chama cha ukristo na wachaga kitaimalizaa ccm kabisa na hawa makada feki kina ifweero,lusungo,msalani,na makenge kama laki si pesa wana kila haja la kujifunza
 
nashukuru sana niliwaambia hawa maccm kwamb hii mbegu ya kuita cdm ni chama cha ukristo na wachaga kitaimalizaa ccm kabisa na hawa makada feki kina ifweero,lusungo,msalani,na makenge kama laki si pesa wana kila haja la kujifunza

kenge bibi yako . kiazi we
 
wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!

Acha kutukana wapiga kura ndugu yangu.ikitokea kesho akarudi utamwambia nini ? Cha msingi mtakie mafanikio tu basi! Maana siasa ni mchezo mchafu.hukuona sitta anamkumbatia Lowasa?
 
wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!

Kipi chama tapeli hapa TZ? Sio hicho ambacho kimekufanya uwaone wabena ni taahira ikiwa ni pamoja na Mangula ambaye ni mbena? Maana yake wewe ndiye taahira maana ungekuwa sio hivyo usingemtukana Makamu Mwenyekiti wa chama chako. Kweli mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Endelea kula kwa mapana hayo.:deadhorse::deadhorse::deadhorse:
 
Nilikwambia Magaga, nashukuru umesikiliza ushauri wangu na kuachana na chama cha laana. Sasa ni jukumu lako kutubu kwa madhambi uliyowatendea watanzania kupitia hilo Nyonya Damu CCM
 
Back
Top Bottom