kwani wewe sio jibwa?? Tena jike.
una fistula wewe hujielewi kiazi we
kwani wewe sio jibwa?? Tena jike.
unajua we mp.umbavu ntakupasua wewe! Usifikiri na sisi huwa tunacheka kama mnavyochekana kwenye lichama lenu. Ken ge wewe.
una fistula wewe hujielewi kiazi we
aaaaahh!! Mkuu mkiu nenda nae taratibu huyo ni mgonjwa wa akili mkuu hana timamu ndio mana anajipendekeza kwa ccm kwa vile wana mpipopoa 0713 wanamuachia na vijisent kidogo.ubongo wake umejifunga huyo.
kuwa kiazi so inshu, inshu hapa ni ujibwa wako tu basi!!
wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!
Badala ya kuwatukana Wabena kwa uamuzi wao ambao uko ndani ya katiba,ungewatukana viongozi wa CCM wala Rushwa,mafisadi,wauza unga,wabadhirifu wa mali ya umma,wauzaji wa wanyama wetu,maliasili zetu,Tembo wetu nk.Ungewashikia kidedea hawa ningekuona kweli wewe ni mzalendo,vinginevyo kaa chini ujifikirie,siyo lazima uachane na CCM ila kuwa Mzalendo wa kweli.Pigania mali asili za Taifa lako.
CCM ni manyang'au na wevi wakubwa na ndo kinakufa taratibu rejea ujumbe wa MUNGU kupitia mtumishi wake kakobe
When You are telling that you need to think broad as we strongly say Shame on You unabaki kwenye chama cha Mafisadi na cha Magamba.wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!
Umesoma vizuri uzi lakini wewe? Laghai ni yule aliyepeleka pesa ili chama kishinde na hao wabena unaowadharau ndio wakala pesa zenu na kura kwa CDM, hapo unatakiwa kuwadharau au kuwasifia kwa uzalendo wao!? ccm bila rushwa popote haiwezi kushinda, hata wewe kwa uzi hu tu unalipwa 7k, wenzio tunaandika bure tu bila kupata chochote, kwa hilo tu hata wewe unatakiwa kudharauliwa kabisa!wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!
wala usipoteze muda wako , huyo siyo mtu , NI ROBOT LA CCM , LINATUMIA UMEME !
Ha ha ha si mlisema ni chama cha wachaga?wana njombe kweli mataahira. yani wamekubali kuingizwa chaka na chama cha kitapeli na kilaghai chadema. nimewadharau sana wabena. shame on them...!