Mtoto huyo si mpiga kura, lakini anatumika kwa malengo binafsi ya mtu!..
Akili yake inaanza kudumazwa mapema kwa kumwonyesha kwa vitendo kwamba propaganda za kisiasa zinaweza kumrekebishia mtu maisha!...
Atakuwa na bidii kazini huyo kweli?
Anampa nafasi ya kukipenda chama mtoto wake angali bado mdogo,kwangu mimi sioni tatizo maana ndio inajenga msingi wa watoto kufuatilia mambo katika kupanua wigo wao wa ufahamu kuhusu siasa na utawala katika nchi ambayo wao hapo baadae ndio watakuwa mihimili ya taifa letu baada ya kizazi chetu kupita.
Wazazi mfanyao hivi pia muwaambie ukweli watoto wenu kuwa chama kina UFISADI,RUSHWA,MIZENGWE ili nao wajue si kuwapeleka tu kama bendera inavyofuata upepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.