Kada Mtoto

Ilulu

Senior Member
Mar 22, 2008
161
31
Baba kaniambia nivae hivi, alijua nitapata nafasi ya kukusalimia an kupiga picha na wewe Mh!
 

Attachments

  • 09_10_mz6jna.jpg
    09_10_mz6jna.jpg
    39.8 KB · Views: 142
mmh! kazi kweli kweli.... ukute mtoto kafanywa chambo ya baba kupewa ukuu wa wilaya
 
Baba kaniambia nivae hivi, alijua nitapata nafasi ya kukusalimia an kupiga picha na wewe Mh!

Huu ndio udhalilishaji wa watoto, angefurahi zaidi kuwa anachezea midoli kuliko kumleta kwenye kampeni
 
Mtoto huyo si mpiga kura, lakini anatumika kwa malengo binafsi ya mtu!..
Akili yake inaanza kudumazwa mapema kwa kumwonyesha kwa vitendo kwamba propaganda za kisiasa zinaweza kumrekebishia mtu maisha!...
Atakuwa na bidii kazini huyo kweli?
 
Anampa nafasi ya kukipenda chama mtoto wake angali bado mdogo,kwangu mimi sioni tatizo maana ndio inajenga msingi wa watoto kufuatilia mambo katika kupanua wigo wao wa ufahamu kuhusu siasa na utawala katika nchi ambayo wao hapo baadae ndio watakuwa mihimili ya taifa letu baada ya kizazi chetu kupita.
Wazazi mfanyao hivi pia muwaambie ukweli watoto wenu kuwa chama kina UFISADI,RUSHWA,MIZENGWE ili nao wajue si kuwapeleka tu kama bendera inavyofuata upepo.
 
Back
Top Bottom