murugalama
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 231
- 81
Huyu Dr Bujari tumwangalie kwanza ametafuta ubunge kupitia CCM akapigwa chini na kiukweli kupitia ccm hawezi kupata ubunge anachofanya saiv ni kama Gashaza alizunguka badae akaona kuludi ccm mbali nakwamba ni mtu anaependwa sana Ngara binafsi namkubali sasa Dr Bujali ajiandae kupambana na Dr Sebuyoya ila tatzo la wilaya ya Ngara Bado sana watu wengine ukienda Busubi wanajua nyerere ndo raisi
Waswahili waliumiza vichwa sana kwa misemo yao.....
Mfano:ukitaka kujua tabia ya mtu mtupie furushi la hela
Nzi hawezi kuja kwako bila sababu
Lisemwalo lipo kama halipo laja
Jambo haliwi jambo mpaka mwenye Jambo amaue kujamba
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe
Akili za kuambiwa changanya na za kwako
Shimo haliwi shimo mpaka utumbukie ndipo utakapo jua hilo ni shimo
Misemo hii ina maana kubwa sana kwa wale welevu na wadadisi
"washamba nyie wenye mashamba ya bangi na mirungi"
Jamaa yupo fit! Nafikiri hii ni kazi nzuri ya mwenezi KAKOKO! bila kumsahau kamanda TALL pale Victoria.
Kweli Murugalama kama akina Ruhuza na Gashaza wamekosa itakuwaje Dr Bujali apate ubunge kiraisi kiukweli mtetezi wa Ngara ni Gashaza wengine sina imani nao.Kwa Ngara sitarajii mabadiliko Km waliacha kumpa kura Sammy Ruhuza ni nani mwingine mwenye ubavu wa kupenya.
HojA yangu si kukutaka uunge mkono upande wangu ila langu ni moja tu mtu kuwa na falsafa moja inayoeleweka na kama umesoma fasihi ktk maisha yako ni kwamba fasihi inahimiza wahusika ktk kazi za fasihi kuwa na falsafa inayoeleweka mfn. falsafa ya kimapinduzi, mlengo kati, mambo leo n.k. Wewe mwanzo ulijikita kujadili ubora wa mtu nami nikakutambua kama mtu huru sasa ukaja kujadili chama cha mtu na ujumbe wake wa NEC ndipo hapo watu makini ktk uchambuzi tukaku-attack ili kukumbusha usiwe msahaulifu ktk hoja zako ili tuijenge jamiii. Lengo si kutaka vyeo kama zilivyo ndoto za vijana wengi humu, ila mimi sikuzote naunga mkono wale wenye dhamira ya kututoa hapa shimoni tulipotumbukizwa na ccm bila kuwa na tumaini la kutolewa hapa. So tujenge nchi wabaya tuwakatae bila kujali utakosa kibarua. Nawasilisha!!!Chiku ...... Usinilazimishe kuwa upande wako
Kakoko na Mashishanga inabidi watusaidie tusije ingiza watu wa kutusumbua kama zzk.Ngoja nianze kampeni ya udiwani Ngara mjini, mkuu Kakoko andaa kadi mwanachama mpya nimejitosa
Kweli Murugalama kama akina Ruhuza na Gashaza wamekosa itakuwaje Dr Bujali apate ubunge kiraisi kiukweli mtetezi wa Ngara ni Gashaza wengine sina imani nao.
HojA yangu si kukutaka uunge mkono upande wangu ila langu ni moja tu mtu kuwa na falsafa moja inayoeleweka na kama umesoma fasihi ktk maisha yako ni kwamba fasihi inahimiza wahusika ktk kazi za fasihi kuwa na falsafa inayoeleweka mfn. falsafa ya kimapinduzi, mlengo kati, mambo leo n.k. Wewe mwanzo ulijikita kujadili ubora wa mtu nami nikakutambua kama mtu huru sasa ukaja kujadili chama cha mtu na ujumbe wake wa NEC ndipo hapo watu makini ktk uchambuzi tukaku-attack ili kukumbusha usiwe msahaulifu ktk hoja zako ili tuijenge jamiii. Lengo si kutaka vyeo kama zilivyo ndoto za vijana wengi humu, ila mimi sikuzote naunga mkono wale wenye dhamira ya kututoa hapa shimoni tulipotumbukizwa na ccm bila kuwa na tumaini la kutolewa hapa. So tujenge nchi wabaya tuwakatae bila kujali utakosa kibarua. Nawasilisha!!!
Kweli Murugalama kama akina Ruhuza na Gashaza wamekosa itakuwaje Dr Bujali apate ubunge kiraisi kiukweli mtetezi wa Ngara ni Gashaza wengine sina imani nao.
Kakoko na Mashishanga inabidi watusaidie tusije ingiza watu wa kutusumbua kama zzk.
Acheni huo Umburula wenu kwani Bujari amesema hapa kama anataka kuwania ubunge?, yeye amehamia Cdm basi hayo ni yenu, kwani Sam Ruhuza na Gashaza ni wakina nani?, kama wao walikosa shauri yao
Jamani wahangaza tuache Ushamba kimsingi tuunge mkono Cdm ni chama makini,
fungueni matawi mengi hapo km kule mukadunduri, mukafigili, mabawe, muhweza na sehemu zinginezo cdm mbele kwa mbele.
Acheni huo Umburula wenu kwani Bujari amesema hapa kama anataka kuwania ubunge?, yeye amehamia Cdm basi hayo ni yenu, kwani Sam Ruhuza na Gashaza ni wakina nani?, kama wao walikosa shauri yao
Jamani wahangaza tuache Ushamba kimsingi tuunge mkono Cdm ni chama makini,
fungueni matawi mengi hapo km kule mukadunduri, mukafigili, mabawe, muhweza na sehemu zinginezo cdm mbele kwa mbele.
Huyu Mashishanga namkubali sana kwa pale Rulenge, ni bingwa wa kushawishi hasa ile jinsia nyingine