Akabidhiwe kwenye uongozi wa Jimbo kwa uchunguzi haraka, nina imani kubwa sana na uongozi wa chini wa Chama kuliko makao makuu, makao makuu kumekuwa na bureaucracy ndefu sana katika kuwachukulia wanachama wajinga wajinga hatua za kinidhamu.
mimi sio mwanachama wa CCM ila nalaan na kupinga wanaomuita Dkt Bujari kada wa CCM. na ntaweka sababu
1) huyu jamaa ameanza kufahamika kwenye siasa za Ngara baada ya kutangaza nia ya kugombea ubunge hiyo inaleta picha kwamba alichofuata CCCM ni UBUNGE tu nashukuru watu wa Ngara tulimuelewa
2) chaguzi za ndan ya chama jamaa hajawahi kuchangia chochote na uchaguzi uliopita jamaa alipoombwa mchango alitoa maneno ya kejeli
3) ni mkabila, jamaa alianzisha DIVIDE AND RULE kwa kutaka kutugawa wana Ngara. Hapa Mkazi wa Ngara ataelewa tofauti kdogo iliyopo baina ya Bugufi na Bushubi jamaa alieendeleza kampeni za tumchague WAKWETU
4) baada tu yakupigwa chini kwenye uchaguzi wa ndani ya chama magari yake yalianza kupeperusha bendera za CHADEMA nalazimka kuamini hata huko ndicho anachofuata
kwa taarifa zaid nasikia amekuwa mchungaji na anampango wa kuanzisha kanisa lake pale Rulenge,
Kweli CDM mmepata jembe
Kada wa CCM jimbo la Ngara, Dr Peter Bujari ametangaza uamuzi wa kujitoa CCM na kujiunga na CHADEMA hivi punde.
Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.
Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.
Source:Mwananchi Breaking News.
Hiyo siasa ya maji taka
Na bado wako wengi wanahamia!Kada wa CCM jimbo la Ngara, Dr Peter Bujari ametangaza uamuzi wa kujitoa CCM na kujiunga na CHADEMA hivi punde.
Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.
Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.
Source:Mwananchi Breaking News.
Kada wa CCM jimbo la Ngara, Dr Peter Bujari ametangaza uamuzi wa kujitoa CCM na kujiunga na CHADEMA hivi punde.
Amewaambia wanahabari kuwa CCM imeshindwa kuondoa kero mbalimbali.
Pia amesema amejiunga na CHADEMA kutokana na sera na Uongozi thabiti. na usioyumba wa Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa.
Source:Mwananchi Breaking News.
Sera ipi hiyo ambayo kaiona sasa na sio kabla?au ana mtambo wa kupikia gongo nini?maana hiki ndicho kipya kwa sasa.
wapigania tumbo wako chadema eg. Babu Slaa, Mbowe, lEMA, Sugu na jamii ya akina Msigwa
huyo mroho wa madaraka.. Pokeeni zigo hilo lenye wivu wa madaraka.
Ila mwisho wa siku atarudi CCM.
nahisi mwenye mtambo uta kuwa wewe usiye ziona sera za cdm unaziona za kubaka watu kwenye operation zaccm tu!Sera ipi hiyo ambayo kaiona sasa na sio kabla?au ana mtambo wa kupikia gongonini?maana hiki ndicho kipya kwa sasa.
nahisi mwenye mtambo uta kuwa wewe usiye ziona sera za cdm unaziona za kubaka watu kwenye operation zaccm tu!