Kada maarufu CCM mbeya atimkia CHADEMA!

Kada maarufu CCM mbeya atimkia CHADEMA!

mageuzi1992

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2010
Posts
2,502
Reaction score
256
Nukuu by Mwananchi.co.tz , Jumanne,Julai 30, 2013

Chama cha mapinduzi katika jiji la Mbeya kimepata pigo baada ya kada wao maarufu , David Mwankina (70) kukibwaga chama hicho na kujiunga na CHADEMA. Mzee huyo ambaye ni hakimu mstaafu alikabidhi rasmi kadi ya CCM kwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwishoni mwa wiki jijini Mbeya. Baada ya kukabidhiwa kadi ya CHADEMA Mzee huyo alizungumza na kusema '' uamuzi wa kuachana na siasa za CCM umetokana na kusoma alama za nyakati na kudai kwamba tayari CCM hakina mpango mzuri kwa Watanzania. Alisema baada ya kuona CCM imepoteza msingi alioacha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere, ni bora akahamia upande wa pili wa CHADEMA ambacho kina Uzalendo.
 
Karibu,ila ucwe kirusi!ungama dhambi ulizotenda kwa watanzania ulipokuwa CCM,then watumikie watz kupitia chama makini CHADEMA!
 
Nukuu by Mwananchi.co.tz , Jumanne,Julai 30, 2013

Chama cha mapinduzi katika jiji la Mbeya kimepata pigo baada ya kada wao maarufu , David Mwankina (70) kukibwaga chama hicho na kujiunga na Chadema. Mzee huyo ambaye ni hakimu mstaafu alikabidhi rasmi kadi ya CCM kwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwishoni mwa wiki jijini Mbeya. Baada ya kukabidhiwa kadi ya Chadema Mzee huyo alizungumza na kusema '' uamuzi wa kuachana na siasa za CCM umetokana na kusoma alama za nyakati na kudai kwamba tayari CCM hakina mpango mzuri kwa Watanzania. Alisema baada ya kuona CCM imepoteza msingi alioacha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere, ni bora akahamia upande wa pili wa Chadema ambacho kina Uzalendo.

YAANI huyo kibabu bado ana ndoto tu za siasa? si bora aende shamba tu akajilimie kahawa? anajipa stress za ajabu
 
asante , wazee ni hazina , hatuwezi kuwatupa kama afanyavyo Nape .
 
Huu pia si upande wa sherehe na starehe, ni mapambano ya kwa kwenda mbele kuwaondoa hawa vibaka mafisadi, lakini kama umeingia kama kirusi kupigwa chini ni kitu cha kawaida sana, karibu kamanda!
 
YAANI huyo kibabu bado ana ndoto tu za siasa? si bora aende shamba tu akajilimie kahawa? anajipa stress za ajabu
ukitaka kujijua kama unalaana bila kuambiwa na mtu, ni unapo jikuta unakashfu watu waliyo kupita umri! au wewe ulizaliwa na vijana wenzako ? heshima kitu cha bure
 
Karibu mzee Mwankina!! Nafurahi Sana kusikia hivo Viva chadema KWA SABABU NAIPENDA TANZANIA NDIO MAANA NIPO CHADEMA
 
Duh! CHADEMA inajaa wanasheria sijui siku tutakayoanza kuwachukulia hatua za kisheria magamba wataponea wapi?
 
ukitaka kujijua kama unalaana bila kuambiwa na mtu, ni unapo jikuta unakashfu watu waliyo kupita umri! au wewe ulizaliwa na vijana wenzako ? heshima kitu cha bure

wapi hapo nimemkashifu. nimempa ushauri wa bure tu.
 
wapi hapo nimemkashifu. nimempa ushauri wa bure tu.
tatizo lugha ya hekima inamata! nan nanajua kabisa haujakosa akili kiasi cha kushindwa kugundua lugha haikuwa poa, lakini asante kwa kunielewa kwa kiasi fualani, i hope ur going to be a better man!
 
Nukuu by Mwananchi.co.tz , Jumanne,Julai 30, 2013

Chama cha mapinduzi katika jiji la Mbeya kimepata pigo baada ya kada wao maarufu , David Mwankina (70) kukibwaga chama hicho na kujiunga na CHADEMA. Mzee huyo ambaye ni hakimu mstaafu alikabidhi rasmi kadi ya CCM kwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi (Sugu) Mwishoni mwa wiki jijini Mbeya. Baada ya kukabidhiwa kadi ya CHADEMA Mzee huyo alizungumza na kusema '' uamuzi wa kuachana na siasa za CCM umetokana na kusoma alama za nyakati na kudai kwamba tayari CCM hakina mpango mzuri kwa Watanzania. Alisema baada ya kuona CCM imepoteza msingi alioacha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere, ni bora akahamia upande wa pili wa CHADEMA ambacho kina Uzalendo.

Kijana wa Miaka 70 atimukia chama cha vijana chadema. Sidhani kama alikuwa anatufaa ngoja aungane mzee Slaa.
 
Bado Kafa mwengine wa Iringa Chris Lukosi atatimkia na yeye Chadema haaa haaa haaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom