GE2025 Kada CCM Amandus Jordan Tembo, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Songea mjini

GE2025 Kada CCM Amandus Jordan Tembo, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Songea mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Kada wa chama cha mapinduzi ( CCM) Amandus Jordan Tembo, juni 28,2025 amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Songea mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mwezi oktaba mwaka huu

Toronto mdau wa maendeleo hapa Songea mjini na mwanachama hai wa chama cha mapinduzi( CCM) amesema ameamua kuchukua fomu ili kuwatumikia wananchi wa jimbo la Songea mjini kwa kuwa anaweza kuwa mwakilishi bora wa kusimamia na kuwatetea wananchi wa Songea mjini katika kuleta maendeleo.
" Wakati umefika wa jimbo la Songea mjini kufanya mabadiliko ya kupata mbunge ambaye yuko tayari kuwatumikia wananchi katika nyanja mbalimbali huku msingi wa kwanza ukiwa ni kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo yote ya jimbo la Songea mjini" amesema Toronto

Hii ni mara ya kwanza kwa Toronto kuwania ubunge katika jimbo hilo na ni baada ya kutafakari kwa kina na kusikiliza maoni ya watu mbalimbali kuhusu ujenzi wa jimbo hilo na Taifa kwa ujumla

son.png
 
Kada wa chama cha mapinduzi ( CCM) Amandus Jordan Tembo, juni 28,2025 amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Songea mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mwezi oktaba mwaka huu

Toronto mdau wa maendeleo hapa Songea mjini na mwanachama hai wa chama cha mapinduzi( CCM) amesema ameamua kuchukua fomu ili kuwatumikia wananchi wa jimbo la Songea mjini kwa kuwa anaweza kuwa mwakilishi bora wa kusimamia na kuwatetea wananchi wa Songea mjini katika kuleta maendeleo.
" Wakati umefika wa jimbo la Songea mjini kufanya mabadiliko ya kupata mbunge ambaye yuko tayari kuwatumikia wananchi katika nyanja mbalimbali huku msingi wa kwanza ukiwa ni kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo yote ya jimbo la Songea mjini" amesema Toronto

Hii ni mara ya kwanza kwa Toronto kuwania ubunge katika jimbo hilo na ni baada ya kutafakari kwa kina na kusikiliza maoni ya watu mbalimbali kuhusu ujenzi wa jimbo hilo na Taifa kwa ujumla

Unatuchanganya. Mara unajiita Tembo mara Toronto na huku unafahamika kama Richer .

Wewe unaonekana siyo mwaminifu hata kwa picha tu. Utakuwaje na para kubwa hivyo na umri mdogo hivyo
 
Kada wa chama cha mapinduzi ( CCM) Amandus Jordan Tembo, juni 28,2025 amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la Songea mjini katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mwezi oktaba mwaka huu

Toronto mdau wa maendeleo hapa Songea mjini na mwanachama hai wa chama cha mapinduzi( CCM) amesema ameamua kuchukua fomu ili kuwatumikia wananchi wa jimbo la Songea mjini kwa kuwa anaweza kuwa mwakilishi bora wa kusimamia na kuwatetea wananchi wa Songea mjini katika kuleta maendeleo.
" Wakati umefika wa jimbo la Songea mjini kufanya mabadiliko ya kupata mbunge ambaye yuko tayari kuwatumikia wananchi katika nyanja mbalimbali huku msingi wa kwanza ukiwa ni kuboresha huduma za kijamii kwenye maeneo yote ya jimbo la Songea mjini" amesema Toronto

Hii ni mara ya kwanza kwa Toronto kuwania ubunge katika jimbo hilo na ni baada ya kutafakari kwa kina na kusikiliza maoni ya watu mbalimbali kuhusu ujenzi wa jimbo hilo na Taifa kwa ujumla

Ana Hela za kumshinda Ndumbaro?
 
Back
Top Bottom