Kachemka tena!!!
Leo akijibu swali la Mh Mbatia kuwa ni lini serikali itarudisha mfumo wa 3 K's (kusoma, Kuandika na Kuhesabu), amesema eti serikali itarusidha mfumo wa 3 R's yaani Reading, wRiting and aRithmetic!! Hivi kweli hiki ndio kifupi cha hizo R 3 anazozisema???
Kuna mwingine aliyemsikia akisema hili??
Another shame!!
Leo akijibu swali la Mh Mbatia kuwa ni lini serikali itarudisha mfumo wa 3 K's (kusoma, Kuandika na Kuhesabu), amesema eti serikali itarusidha mfumo wa 3 R's yaani Reading, wRiting and aRithmetic!! Hivi kweli hiki ndio kifupi cha hizo R 3 anazozisema???
Kuna mwingine aliyemsikia akisema hili??
Another shame!!