Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Harafu mnajimu Jr analalama mpaka Anita media kuwa kaburi limebomolewa na City!!!!!!, harafu serikali nayo anaandaa mipango ya kulijengea?????!!"!"". Wonders will never end, only in Tz
Kumbe mkuu, si wanakuwa wanalipa fadhila za zile ramli zake?? Serikali shirikina ndiyo maana maendeleo hakuna, we are stagnant kabisa!!! Maisha duni. Sisi wenye angalao kipato kidogo cha kupigana na maisha tunaishia kuwasaidia extended family tu!!! Yaani nina hasira sana. Maisha hayabadiliki!!! Yale maisha bora kwa kila mtanzania now in vain!!!