Kaburi la sanaa ya Tanzania.

Kaburi la sanaa ya Tanzania.

me1

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
367
Reaction score
422
Habari wanajamvi,kuna mambo kadhaa naona hayako sawa na ndio mana sanaa yetu inaonekana iko nyuma kila siku.

Inadaiwa kuwa ili kuwa wakimataifa lazima kazi zako zionekane kwenye vituo vya kimataifa.

Huu pia ni utumwa.Hawa jamaa tukipeleka video za kibongo wanadai hawawez piga coz ziko chini ya kiwango na wanatoa rundo la vigezo.
Japo kuna video nying tu za west na kwingineko za kawaida sana na wanazipiga kutwa mara kadhaa.

Sasa leo nimeshangaa kuona hata hii ya "Kamwambie" ambayo imeng'aa kwa nguvu ya edit sio ubora wa camera eti wameanza kuipiga pia.
Ni kweli inshu ni quality au ni nin? Hiz video za bwana Naseeb wakati zinatoka hazikukidhi vigezo leo ndo zimekuwa na quality ya juu?
Au kwa vile amekuwa super mega Africa bas ndo haya masharti hayazingatiwi?

Nadhani kama tungekuwa na media zetu strong na za kimataifa,amini nakwambia huu mziki wa bongo na sanaa zingine tunazoita local kama filamu n.k vingekuwa mbali mno.

Wadau wa mziki,tusiishie kufurahia kuona watu wanaenda kuangamiza pesa nyingi nje ili kufanya video wanazotaka mabepari kwa kile kinachoitwa kusaka tobo.Tukiwa na media zetu tutakua na masharti yetu na mziki wetu utatazamwa kimataifa
 
Ungeandika bila kumtaja Baba Tifa, hii mada ingekuwa na maana sana, lakini inaonyesha unashida na dogo domo, ngoja team Kiba/wema waje mpige zogo la jumatatu.
 
Ungeandika bila kumtaja Baba Tifa, hii mada ingekuwa na maana sana, lakini inaonyesha unashida na dogo domo, ngoja team Kiba/wema waje mpige zogo la jumatatu.

Kwanin uko negative kias hicho? Kilichopelekea mim kupost uzi huu ni baada ya kuziona video zoote za Diamond zinachezwa Trace,hapa naongelea Kamwambie,Mbagala,Mawazo n.k ndo nkaona kumbe tatizo sio quality pekee kama wanavyotuambia.Na fame pia ina mchango wake.
Sasa hii inahusiano upi na mim kuwa na shida na Mond? Kivip? Ukisoma uzi vizur utagundua nna kiu ya kuona wasanii wote wanatoboa.Sasa kwanin nimchukie mond ambae kashatibu kiu yangu? Stretch your mind.
Si kila mtu yuko interested na mateam team kama unavyodhani.
 
ImageUploadedByJamiiForums1444064870.305555.jpg
 
Du!!! naona watu wametususia kuchangia, watu wako bize na politiki balaa, ngoja na mie niende huko, kwaheri bwana. subiri baada ya uchaguzi tutakuwa hatuna cha kuongea ndo tutakuja huku, na weingine watakuja huku ili kupoza machungu ya politik
 
Habari wanajamvi,kuna mambo kadhaa naona hayako sawa na ndio mana sanaa yetu inaonekana iko nyuma kila siku.



Inadaiwa kuwa ili kuwa wakimataifa lazima kazi zako zionekane kwenye vituo vya kimataifa.



Huu pia ni utumwa.Hawa jamaa tukipeleka video za kibongo wanadai hawawez piga coz ziko chini ya kiwango na wanatoa rundo la vigezo.

Japo kuna video nying tu za west na kwingineko za kawaida sana na wanazipiga kutwa mara kadhaa.



Sasa leo nimeshangaa kuona hata hii ya "Kamwambie" ambayo imeng'aa kwa nguvu ya edit sio ubora wa camera eti wameanza kuipiga pia.

Ni kweli inshu ni quality au ni nin? Hiz video za bwana Naseeb wakati zinatoka hazikukidhi vigezo leo ndo zimekuwa na quality ya juu?

Au kwa vile amekuwa super mega Africa bas ndo haya masharti hayazingatiwi?



Nadhani kama tungekuwa na media zetu strong na za kimataifa,amini nakwambia huu mziki wa bongo na sanaa zingine tunazoita local kama filamu n.k vingekuwa mbali mno.



Wadau wa mziki,tusiishie kufurahia kuona watu wanaenda kuangamiza pesa nyingi nje ili kufanya video wanazotaka mabepari kwa kile kinachoitwa kusaka tobo.Tukiwa na media zetu tutakua na masharti yetu na mziki wetu utatazamwa kimataifa.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom