Kwa wajenzi thats a normal phenomenon hasa ukizingatia na izi mvua za DSM!
jamani mbona n kawaida sana has pale mtu anapozkwa wakati wa jua udngo huwa unakuwa na nafasi sasa mvua inaponyesha soil compaction hutokea na hapo udongo hutitia na ndio maana nyufa hutokea. sidhani kama ni ktu cha kuandikwa hiki manake ni cha kawaida kabisa.
kwi kwi kwi kwi kwimtakuja kusema amefufuka
mtakuja kusema amefufuka