Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba The Great limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu tangu alipozikwa, Ijumaa Wikienda limelishuhudia.
Mwishoni mwa wiki iliyopita, waandishi waetu walifika katika nyumba hiyo ya milele ya marehemu Kanumba kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar na kushuhudia hali hiyo huku nyomi ya watu mbalimbali ikiendelea kumimika eneo hilo kuweka mashada ya maua.
Kama hiyo haitoshi, baadhi ya watu waliofika kutoka mikoani ambao hawaamini kama kweli marehemu Kanumba hatunaye, walipiga picha ili kupeleka ushahidi huko walikotoka.
CREDIT: << KABURI LA KANUMBA LAPASUKA>>
Mwishoni mwa wiki iliyopita, waandishi waetu walifika katika nyumba hiyo ya milele ya marehemu Kanumba kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar na kushuhudia hali hiyo huku nyomi ya watu mbalimbali ikiendelea kumimika eneo hilo kuweka mashada ya maua.
Kama hiyo haitoshi, baadhi ya watu waliofika kutoka mikoani ambao hawaamini kama kweli marehemu Kanumba hatunaye, walipiga picha ili kupeleka ushahidi huko walikotoka.
CREDIT: << KABURI LA KANUMBA LAPASUKA>>