Msomi wako anasema kamwe hawezi kupiga goti mbona kanisani anapiga lote.Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?
Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?
Umemuelewa vibaya! Kasema hata piga goti kwa beberu na siyo kanisaniMsomi wako anasema kamwe hawezi kupiga goti mbona kanisani anapiga lote.
Atapiga tu anafikiri hizi ni enzi za Cold war zile enzi za kuringa na kujifanya kususia nchi za Magharibi wakati huohuo unawapigia simu umoja wa Sovieti zimeshapita.Umemuelewa vibaya! Kasema hata piga goti kwa beberu na siyo kanisani
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.Atapiga tu anafikiri hizi ni enzi za Cold war
Ukifuatilia matamshi na matendo yake, no dhahiri Kabudi ndiyo Goebbels wa leo.
Wakati Adolf Hitler akiwa kwenye kilele chake, alikuwa na mpiga propaganda huyo- Goebbels.
Kabudi anataka kumpiku Goebbels.
Mtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.
Niko pamoja na Kabudi na selikali yangu, kama wanataka kutusaidia walete hiyo misaada bila masharti ya lazima mfanye hivi mara vile, hapo uhuru wako uko wapi?
Lazima tuwadishie hata kama tutapata shida lkn tutapata akili ya kutafuta vyetu.
Ni mifano dhaifu wanasema misaada wanatoa kwa masharti ya kuzingatia haki za binaadamu na wanataka Demokrasia ya kweli na sio kuuwa vyama ya Upinzani kunakofanywa na CCMMtu hawezi kuja nyumbani kwako akasema ili nikusaidie hii shida yako ngoja nmgonge mkeo kwanza! Alafu eti unakubali.
Nyerere aliumbuka pale alipowaomba soviet cuba na China hela na vifaa vya kivita kupambana na IDD amini. Walimtolea nje wakamwambia hakuna cha Bure leta hela tukupe mzigo.Atapiga tu anafikiri hizi ni enzi za Cold war zile enzi za kuringa na kujifanya kususia nchi za Magharibi wakati huohuo unawapigia simu umoja wa Sovieti zimeshapita.
Kwa stiglers goji na reli si zinajengwa kwa mkopo? Na nyie mlitoa tigo ndio mkapewa mkopo?Kwanini wapinzani wa Magu mna chukia sana mkisikia suala la kujitegemea?
Ina maana nyie mko tayari kuuza hata tigo zenu ili mpewe misaada?
Acha kupotosha mimi nilikuwepo silaha za kumpiga amini zote zilikuwa za Kurusi na Kichina kuanzia ndege hadi bunduki za mkononi.Nyerere aliumbuka pale alipowaomba soviet cuba na China hela na vifaa vya kivita kupambana na IDD amini. Walimtolea nje wakamwambia hakuna cha Bure leta hela tukupe mzigo.
Walimyima vya bure, mjamaa mwenzao, wajamaa wanoko wabinafsi alafu masikini tuAcha kupotosha mimi nilikuwepo silaha za kumpiga amini zote zilikuwa za Kurusi na Kichina kuanzia ndege hadi bunduki za mkononi.
Sio kweli hakuna Mchina au msovieti ambae angekubali Tanzania ishidwe vita wakati ndio iliyokuwa mstari na kutumika kama Base za wapigania uhuru wa Kusini.Walimyima vya bure