pe.livinuu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 502
- 114
MME: Ooh! Natamani sana iwe hivyo.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo!
MKE: Unanipenda?
MME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MME: Siwezi huo upuuzi.
MKE: Utanibusu milele?
MME: Kila mara.
MKE: Je, utanipiga?
MME: Aaaa haiwezi tokea!
MKE: Naweza kukuamini?
MME: Naam.
MKE: Jamani mpenzi!
Sasa ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje??
Soma kuanzia chini kwenda juu.
MKE: Vipi, wataka niondoke?
MME: Hapana hata kidogo!
MKE: Unanipenda?
MME: Ndo maanake.
MKE: Utakuwa na mpenzi mwingine zaidi yangu?
MME: Siwezi huo upuuzi.
MKE: Utanibusu milele?
MME: Kila mara.
MKE: Je, utanipiga?
MME: Aaaa haiwezi tokea!
MKE: Naweza kukuamini?
MME: Naam.
MKE: Jamani mpenzi!
Sasa ukitaka kujua baada ya ndoa mambo huwaje??
Soma kuanzia chini kwenda juu.