Kabla ya kupelekana chaka zaidi ufafanuzi kuhusu binti mzazi kusoma

Shida yako wewe kubwa n kujaza chuki kwa Magufuli basi hakuna lingine na hakuna point za maana unazotoa ili kutetea hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuziona kama umekunywa maji ya kijani na umagufuli umekuingia,wewe ni aina ya watu kesho Magufuli akisema ameruhusu wote wapate elimu kwenye mfumo rasmi,utakuja hapa kupongeza!
Tuliwaona kwenye kikotoo kipya mlipongeza,alivyobadili maamuzi na kurudisha cha zamani mkaja hapa kumpa sifa kede kede!Type yenu wafuata upepo mnajulikana!
 
Huo ndio ukweli, kwanza tutunge sheria za mabinti kukaguliwa bikra ikikutwa haipo mzazi mzazi akamatwe na kufikishwa mahakamani,
Ok,ongezea na watu wote nchini wapimwe marinda!
 
Kiukweli nguvu ya watoto wa kike kuyajua na kuyapenda mapenz imezid uwezo wa wazaz kuwadhibiti. Tena kua zia primary schools! Kuna tatzo kubwa pahala kuhusu binti zetu. Njia za kubembelezana tu hatufik popote. Serkali iweke kamat maalum za maadili ngaz za kitongoj zilizoconnected na watendaj. Wasichana wajengewe hofu ya kisheria waogope ngono. Wanaobakwa ni wachache. Wengi ni tumalaya malaya ilihal hatujar kuhesab siku zao. Ikibidi msichana akibalehe adungwe sindano za kuzuia mimba kwa nguvu. Wazaz wawajibishwe kwa tabia mbaya za binti zao. Pia mabint wapewe njia nzur za kutoa taarifa wanaposumbuliwa na wanaume. Wanaume wadhibitiwe kijamii na si kusubir had mimba itokee. Kiukwel mahusiano yao yanakuwa yanajulikana. Miundo mbinu iwe rafik kuondoa vishawish km mabweni. Mwl mmoja alinisimlia kisa cha watoto wa std 3 kufanya mapenz rasm had kupigania kavulana. Niliogopa sana kizaz hiki.
 
3.Kuna utafiti gani ambao umeonesha madhara ya kuwarudisha hawa waliopata ujauzito kwenye mfumo rasmi?Je,tumeenda walau Kenya na Uganda kufanya utafiti huo? Maana wao wanawarudisha kwenye mfumo rasmi na wametuacha mbali kwenye sekta ya elimu!
Naona kuna kitu unapenda ila huna ushahidi: Uganda na Kenya wametuacaha mbali kwa lipi? Mtindo huo wameuanza lini na je, unajua baada ya miaka 10 ijayo hali mashuleni itakuwaje?
Kila kitu tufanye utafiti. Utafiti wa nini kwa mambo yanayoeleweka ktk jamii? Nani ktk ulaya na Amerika anarudisha mtoto shuleni baada ya kuzaa hata kama ni mmoja? Sasa leo hii unapanga kurudisha maelfu shuleni wakiwa na watoto! Ufumbuzi iwe ni kuzuia mimba ikiwa ni pamoja na kuolewa wakiwa wadogo maana ndo vyanzo hivyo!

Zitto ambaye mimi namuita ni bwege, alikuwa Bungeni wakati wanajadili sheria ya umri wa chini kwa binti kuolewa, alisema nini juu ya hilo na leo anashupalia anayepata mimba arudi shuleni. Huo siyo ufumbuzi wa kudumu, ni mfumo wa kubariki upuuzi uendelee kuitafuna jamii yetu.
 
Back
Top Bottom