Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,957
- 3,301
Naona joto la kusoma kwa bint mzazi limepanda mno hasa mitandaoni. Inawezekana ni kwa sabab za kisiasa au ni ufafanuz hafifu toka kwa wahusika. Kias kwamba kuna wengine wanatuaminisha serkal imezuia anayebeba mimba KUDIRIKI kusoma zaid ya hapo. Madhara ya mal-information kwa sasa ni makubwa mno.
Hii ni kwa sabab suala limebebewa bango kama vile ni sera mpya ndo imetungwa. Naomba ufafanuz kuhusu haya toka kwa mwerevu
1. Je, kabla ya sera mpya utaratib ulikuwaje?
2. Je, tunachotofautiana ni mwanafunz mwenye mtoto kuwa darasan na wenzake akiwa na mtoto au hata kama mtoto haonekan eneo la shule?
3. Je, tunatofautiana kuwa mtoto akishazaa serkali inamtoa mazma kwenye mfumo wake wa elim wa shule zake kama zamam ,isipokuwa chuo hata kama hana ratiba za kunyonyesha? Au tunagombania serkali kuanza kugharamia usomaj wa wazaz hao na katika shule za serkali walimo wenzao!
4. Je tunatoafautiana kuwa sera mpya ya kuwaendeleza waliobeba mimba kwa kuwapa elim ya kujitegemea kama kushona na kufuga ni sera ya kuwafanya wawe na mwerekeo wa kimaskin?
Hitimisho: ukiachilia mbali suala la fedha inaweza kutumika vibaya, ambapo baada ya uchaguz hofu hiyo inaisha, busara zangu za kiafrica zinaniambia sera ya serkali iwe kuwa na madarasa yenye mitaala ile ile ya primary au sekondary kwa wanaopata mimba au wanafunz wazaz, maadam atakayefaulu ataingia tena mfumo ule ule chuo kama alokuwa nao.
Maana utaratib wa siku zote wa ukibeba mimba kajijue ni mbaya kuliko hata huu tunaopinga kwa kuvua nguo.
Hii ni kwa sabab suala limebebewa bango kama vile ni sera mpya ndo imetungwa. Naomba ufafanuz kuhusu haya toka kwa mwerevu
1. Je, kabla ya sera mpya utaratib ulikuwaje?
2. Je, tunachotofautiana ni mwanafunz mwenye mtoto kuwa darasan na wenzake akiwa na mtoto au hata kama mtoto haonekan eneo la shule?
3. Je, tunatofautiana kuwa mtoto akishazaa serkali inamtoa mazma kwenye mfumo wake wa elim wa shule zake kama zamam ,isipokuwa chuo hata kama hana ratiba za kunyonyesha? Au tunagombania serkali kuanza kugharamia usomaj wa wazaz hao na katika shule za serkali walimo wenzao!
4. Je tunatoafautiana kuwa sera mpya ya kuwaendeleza waliobeba mimba kwa kuwapa elim ya kujitegemea kama kushona na kufuga ni sera ya kuwafanya wawe na mwerekeo wa kimaskin?
Hitimisho: ukiachilia mbali suala la fedha inaweza kutumika vibaya, ambapo baada ya uchaguz hofu hiyo inaisha, busara zangu za kiafrica zinaniambia sera ya serkali iwe kuwa na madarasa yenye mitaala ile ile ya primary au sekondary kwa wanaopata mimba au wanafunz wazaz, maadam atakayefaulu ataingia tena mfumo ule ule chuo kama alokuwa nao.
Maana utaratib wa siku zote wa ukibeba mimba kajijue ni mbaya kuliko hata huu tunaopinga kwa kuvua nguo.