Kabla ya kuoa inabidi ujifunze hii staili...

Kabla ya kuoa inabidi ujifunze hii staili...

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,649
Reaction score
3,818
i'll learn this too..lol
 

Attachments

  • 1433622863676.jpg
    1433622863676.jpg
    19.9 KB · Views: 3,067
Ngoja nisiseme kitu!Hio birika ingempata watu wangekutania ICU!!
 
aliye lirusha mwenyewe mpaka kajishika kichwa sijui kwa uoga au hasira
 
NDOA ni kutaniko la UPENDO na FURAHA ya milele kwa watu wawili walioridhiana kutoka ndani ya nafsi zao kuwa mke na mume wakiunganishwa na nguvu kubwa ya upendo ndani ya PENDO lilizijaza nyoyo zao huku uwili huo ukikamilisha maisha ya kila mmoja hapa duniani..kinyume na hapo hakuna NDOA bali ni watu wawili waishio chumba kimoja kwa ajili ya kuhudumiana kimwili......
 
aliye lirusha mwenyewe mpaka kajishika kichwa sijui kwa uoga au hasira
 
NDOA ni kutaniko la UPENDO na FURAHA ya milele kwa watu wawili walioridhiana kutoka ndani ya nafsi zao kuwa mke na mume wakiunganishwa na nguvu kubwa ya upendo ndani ya PENDO lilizijaza nyoyo zao huku uwili huo ukikamilisha maisha ya kila mmoja hapa duniani..kinyume na hapo hakuna NDOA bali ni watu wawili waishio chumba kimoja kwa ajili ya kuhudumiana kimwili......

Neno la busara sana
 
Welcome back Broda...lile jukwaa letu la mambo yale yanayotuhusu sisi tu ni kama limekufa mkuu....nakaribia mwezi sasa sijaenda kuoga mkuu...fanya uwepo wako uonekane mkuu...am dying dirty....

Hahahahaaaaaaa naliogopa kama ukoma Lile saivi limenizawadia ban tatu murua ILA nimegundua chimbo lingine, hilo ni mwisho wa matatizo linaitwa 'mambo ya kikubwa' yani kule hata shetani mwenyewe cha mtoto
 
Nawaza hapa kwa nini huyu jamaa zip ya suruali yake iko wazi, tena huku jikoni?
 
Back
Top Bottom