kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
- Thread starter
- #21
Kukosa hela imesahaulika.....
Au hela sikuizi sio kigezo.
Nawaza sana wanawake niliowapiga block kwa sababu ya kupenda hela. Kama kupiga block ingekuwa unabaki na damu mikononi, kuanzia mwaka 2017 hadi hii 2020 ningeitwa mkono wa damu.