Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
taiping error!We Pumbavu Mkubwa, Umeshindwa Kujiongeza Kuwa Hapo Kuna Taiping Error Ilitakiwa Kuwa Mwaka 1995.Jinga Kabisa.
taiping error!We Pumbavu Mkubwa, Umeshindwa Kujiongeza Kuwa Hapo Kuna Taiping Error Ilitakiwa Kuwa Mwaka 1995.Jinga Kabisa.
Mkuu vipi kuhusu yule aliyekuwa akitumia nguvu kuchangisha pesa za ujenzi wa shule hadi kuwafanya wananchi kukimbilia mwituni?Ningetamani Magufuli asome hii Topic ili ajikumbushie unyama Wake. Leo hii anazunguka majukwani kuwaomba watanzania kura pasipo na soni usoni. Kweli sura ya mbwa ni ya mbwa tu haina aibu wala hofu.
Kigamboni aliwaambia wananchi kama hawana shilingi 200 za kulipia kivuko wapige mbizi wavuke baharini.
Atawezaje kubalance wakati babu hajawahi kuwa waziri wa ujenzi?Balance story yako tupe na ya babu.
Huyu tulichangia shule zikabaki kuwa za umma na tunazitumia, yule akikubomolea nyumba na kunyang'anya kiwanja haubaki na chochote, unarudi kwenye umaskini wakoMkuu vipi kuhusu yule aliyekuwa akitumia nguvu kuchangisha pesa za ujenzi wa shule hadi kuwafanya wananchi kukimbilia mwituni?
Pumba kabisa wewe 1985 Magufuri alikuwa bado shule Jinga kabisa wewe , najua wewe kilaza kabisa, unapoandika uwe unafikilia kidogo tu siyo kujaza pumba zako hapa. Idiot moron.
Umeshindwa Kujiongeza Kuwa Hapo Kuna Taiping Error Ilitakiwa Kuwa Mwaka 1995.
Nyinyi watu wa pwani wavaa MISULI Tabu tupu,kwahiyo watu wa kigamboni hawana 200Tsh?.Anyways kama hawana aliwaambia wavae sare za shule watavuka bure.Binafsi najua kabisa WAVUNJA SHERIA,MAFISADI,WAVIVU wanamchukia MAGUFULI.Alichoma mno makokoro lakini baadae watu walifurahia ongezeko la samaki ziwa viktoria.HUWEZ KUVUNJA SHERIA ZILIZOTUNGWA NA BUNGE KWA KISINGIZIO CHA UNYONGE.Hatutungi sheria kwa fedha nyingi then ZIKAE KAPUNI.
Thats typing error alianza uwaziri 1995, lakini ukweli unabaki pale pale kuwa sio anayeheshimu haki za binadamu wala kuwa na huruma na wananchi wanyonge kama ambavyo anataka watanzania wamwamiji ndio maana aliweza kutumia sheria za kikoloni kuwanyanyasa watu. Inawezekana wewe hata bei ya mfuko wa saruji hauijui
Pumba kabisa wewe 1985 Magufuri alikuwa bado shule Jinga kabisa wewe , najua wewe kilaza kabisa, unapoandika uwe unafikilia kidogo tu siyo kujaza pumba zako hapa. Idiot moron.
-->PROPAGANDA FILED
-->error code: Dk.Magufuli waziri wa ujenzi mwaka 1985.
-->try another propaganda.
Thats typing error alianza uwaziri 1995, lakini ukweli unabaki pale pale kuwa sio anayeheshimu haki za binadamu wala kuwa na huruma na wananchi wanyonge kama ambavyo anataka watanzania wamwamiji ndio maana aliweza kutumia sheria za kikoloni kuwanyanyasa watu. Inawezekana wewe hata bei ya mfuko wa saruji hauijui
Kama kweli ni kufuata sheria anatakiaa kwanza kurejesha nyumba za serikali alizozigawa isivyo halali kwa vimada na ndugu zake. Hizo zingine ni swaga tu mbona amewashindwa wafanyakazi wa idara ya mizani waliokuwa chini ya wizara ya ujenzi, wameendelea kupiga deal za kuvusha malori yenye uzito mkubwa ktk kipindi chote alichokaa hapo wizarani na kutuharibia barabara zilizojengwa kwa mabilioni ya shilingi. Kinachotakiwa hapa Tz ni katiba mpya yenye maoni ya wananchi na sio mtu kujikweza binafsi. Angekuwa na uwezo huo wizara yake isingeongoza kununua vivuko vibovu.Kwa hiyo kumbe suala ni huruma, na sio kufuata sheria??? aliyekuwa na huruma anaondoka maana mmemzoea mpaka mnamtukana kwenye mitandao kila kukicha naye huwa anacheka tu,,, marufuku kuvunja sheria sasa, ukivunja tunadeal na wewe,, na kama kijana unatakiwa ufanye kazi kwa bidii na jasho kwani sasa hakuna malipo ya bure kwa wazembe mliozoea kupiga soga kwenye maofisi na kuwaza umalaya na pombe kila kukicha,, MAGUFURI IKIWEZEKANA KUWA KAMA HITTLER KABISA UUE WAZEMBE WOTE KWENYE TAIFA HILI LILILOJAA WAZEMBE WASIOWEZA KUFIKILI NA HATA KUJITUMA KATIKA KUJENGA NA KULIHESHIMU TAIFA LAO....