DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Mbaya zaidi ikiwa kila mara wewe ndio unaanza kuwasalimia. Kuepusha hilo mimi huwa siangalii status ya mtu.Wengine ukiwasalimia mara kwa mara wanakuona unajipendekeza kwao.!
Mbaya zaidi ikiwa kila mara wewe ndio unaanza kuwasalimia. Kuepusha hilo mimi huwa siangalii status ya mtu.Wengine ukiwasalimia mara kwa mara wanakuona unajipendekeza kwao.!
HahahahaNaahidi kukufanyia sherehe kubwa kadri utakavyotaka.
Will you marry me ?
DearHahahaha
Akhsante.Dear
will you marry me ?
Hata nikiwa spare tyre sio mbayaAkhsante.
Nilishaolewa.
Sitegemei tyre langu kupasuka Wala kupata pancha.Hata nikiwa spare tyre sio mbaya
Mimi najua ukimaliza chuo tutayajengaSitegemei tyre langu kupasuka Wala kupata pancha.
Unanibishia mhusika?Mimi najua ukimaliza chuo tutayajenga
Nikubishie ili nikukose. Siwezi jaribu fanya hivyoUnanibishia mhusika?
Nimekwambia nilishaolewa.Nikubishie ili nikukose. Siwezi jaribu fanya hivyo
Mkuu kwani ukiolewa milango ya fahamu inasimama kufanya kazi ?Nimekwambia nilishaolewa.
Yangu inasimamaMkuu kwani ukiolewa milango ya fahamu inasimama kufanya kazi ?
Nitakupa dawa ya ku activateYangu inasimama
Ananipa mume wangu.Nitakupa dawa ya ku activate
Sometime your husband to be anachoka hapo ndipo napokuja kumsaidiaAnanipa mume wangu.
Sihitaji yako
Hajawahi kuchoka,hata akichoka huwa namwelewaSometime your husband to be anachoka hapo ndipo napokuja kumsaidia
Kwa hiyo tunatokaje hapa tulipo ?Hajawahi kuchoka,hata akichoka huwa namwelewa