Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Vile ambavyo mabraza na watu mbalimbali walivyokuwa wanasimulia kuhusu mgegedo, hasa kusifia kwamba hakuna kitu tamu kama ile basi walikuwaga wananitamanisha sana, enzi hizo mimi bado kabisa kwenye ramani ya sex yaani nilikuwa nawaza hata nitampata nani wakuweza nipa ile kitu namimi nionje nijionee mwenyewe..basi siku ikaja nikampata, ile siku tupo njiani tunaelekea safari nilikuwa naiona ndefu yaani naona kama vile hatufiki.
Aisee sio poa kabisa ile siku kwanza ile kabla ya kupanda kitandani mie kijasho kinanitoka nikifikiria kwamba leo napewa kitu kitamu kuliko vyote duniani..
LA hasha nilichokuwa nafikiria sio wala nilichokutana nacho yaani nikaona kawaida tu hata ile utamu uliokuwa unaongelewa wala sio niliokuwa nafikiri nitaukuta..
So kwangu mimi mda huo wazo lililonijia ni kwamba sex ilikuwa overated kupita maelezo..
Sasa tuambie wewe ulipata picha gani kabla na utuambie baada
Aisee sio poa kabisa ile siku kwanza ile kabla ya kupanda kitandani mie kijasho kinanitoka nikifikiria kwamba leo napewa kitu kitamu kuliko vyote duniani..
LA hasha nilichokuwa nafikiria sio wala nilichokutana nacho yaani nikaona kawaida tu hata ile utamu uliokuwa unaongelewa wala sio niliokuwa nafikiri nitaukuta..
So kwangu mimi mda huo wazo lililonijia ni kwamba sex ilikuwa overated kupita maelezo..
Sasa tuambie wewe ulipata picha gani kabla na utuambie baada