Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 7,023
- 9,260
kutoka kwa mdau mmoja......haya ni mambo ambayo kabla ya kufikia miaka 28, uwe umeyafanikisha na unayaishi...
Kama wew ni kijana smart..
Kwa under 28 na 29 years mangapi kati ya haya tayari umeyafanikisha....na above 28 years ulikamilisha mambo hayo ukiwa na umri gani?
Kama wew ni kijana smart..
Kwa under 28 na 29 years mangapi kati ya haya tayari umeyafanikisha....na above 28 years ulikamilisha mambo hayo ukiwa na umri gani?