Kabila la Wapare maofisini/makazini

Kabila la Wapare maofisini/makazini

Status
Not open for further replies.
Kuna ukweli asilimia kadhaa,wapare wengi ni mabingwa wa FITNA HUSDA na KUJUNGUSHA ila si wote,katika makampuni kadhaa mkikuta Wapare wameshamtangulieni au kuna boss mpare sometimes wana change frequency...utasikia namnani havaee chedichedi na midhuti yao wapare.
 
Hilo ni ukweli kabisa! wapare wanapenda sana ushirikina makazini... japo si wote, ila asilimiakubwa hasa wale wanaotoka Same
 
Hapo sio kweli mm nafanya kazi na wapare tena mwaka 7sasa ila shida ya mpare ni mbahili saana na ni mtu wa kesi kesi suruhu kwake hamna,ila kuna kabila moja ukanda huo wanaitwa wameru tena wale sungisi yaani hata gari yako imepata ajali eneo hilo we sahau msaada
 
Nimewahi kufanya kazi na Wapare binafsi sikuwahi kushudia unayo taka wapakazia hapa!

Wewe unacho tafuta ni ku instigate members wenye hisia kama za kwako waanze kuwashambulia/kuwasema vibaya Wapare bila sababu.

Na hii tabia ya kupakazia baadhi ya makabila imeanza kuota mizizi JF, wewe binafsi unapata faida gani kukandia makabila ya watu wengine.
 
kweli kabisa baadhi ya wapare ni shida! wakati niko chuo nilikuwa na mshikaji wangu wa karibu ni mpare, wakati wa kujisomea tulikuwa tunakaa pamoja na kujisomea, sasa siku moja mshikaji mwingine akaniambia jamaa (mshikaji mpare) alisema mimi sijisomeagi! nikashangaa kauli hii inakujaje kwasababu huwa tunasoma pamoja na ananiona. kuanzia siku hiyo urafiki ukafa. mtaani kwangu kuna jirani ni mama wa kipare, yaani ni mtu wakuchunguza sana maisha ya watu mtaani kwetu kuliko watu wengine
 
Kuna ukweli kwenye hili maana nakumbuka miaka miwili iliyopita kidogo mi na ndugu yangu tuvunje undugu kumbe kuna jamaa wa kipare ambaye alikuwa ni dereva wetu ndo alikuwa anang'ata na kupuliza kwangu na kwa ndugu yangu.Mwishowe tulimbaini mbaya wetu aliumbuka sana akaacha na kazi mwenyewe kwa aibu.
 
Nimewahi kufanya kazi na Wapare binafsi sikuwahi kushudia unayo taka wapakazia hapa!

Wewe unacho tafuta ni ku instigate members wenye hisia kama za kwako waanze kuwashambulia/kuwasema vibaya Wapare bila sababu.

Na hii tabia ya kupakazia baadhi ya makabila imeanza kuota mizizi JF, wewe binafsi unapata faida gani kukandia makabila ya watu wengine.
Mkubwaa Elimu Haina mwisho tafaadhal tujuze instigate ni kitu gani?
 
Hapo sio kweli mm nafanya kazi na wapare tena mwaka 7sasa ila shida ya mpare ni mbahili saana na ni mtu wa kesi kesi suruhu kwake hamna,ila kuna kabila moja ukanda huo wanaitwa wameru tena wale sungisi yaani hata gari yako imepata ajali eneo hilo we sahau msaada
Sungusi ndio nini. Ni Sing'isi wameru hawana shida na mtu ila usiwachokoze tu hata wakurya hawaoni ndani.
 
Sio ofisini tu hata katka maisha ya kawaida..nina kashemeji kapare kamechafua familia kwa majungu,fitina,umbeya na unafiki huwezi amini..
 
Majungu na fitina kazini hazina kabila....

Niliwahi kufanya kazi mahali...upande kuna mkurya...kushoto mmakonde...kulia kuna mhaya ukigeuka unakutana na mchaga.....mbona unaacha tu mwenyewe...
 
Ni kweli wapare wana matatizo hayo, ukikaa na wenyewe watakueleza, utasikia wale wa same ndio wana matatizo zaidi, akikwambia ndio ndio ujue sio n the vice verse z tr!!!
 
Alafu ni watu wanaotegea sana ktk kuchangia au kushiriki jambo la kijamiiii, shortly wanapenda sana mteremko
 
Tatizo tunashindwa kutofautisha kabila la mtu na tabia ya mtu, anyway kwasababu tz hakuna ukabila so niishie apo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom