Duh!shughuli inakuwa pevu hapa na mnyukano wa majina mara utasikia mburushi huku mmahara huku mshihiri kazi kwelikweli.Wamanga ni Waarabu wa Oman na Washihiri ni Waarabu wa Yemen.
Ongezea na "ponjoro"Duh!shughuli inakuwa pevu hapa na mnyukano wa majina mara utasikia mburushi huku mmahara huku mshihiri kazi kwelikweli.
Vp kuhusu "Bambadi"Ongezea na "ponjoro"
Mkuu mburushi sio mwarabu, ni mpakistani kutoka Baluchistani na Karachi,na lugha yao ya asili sio kiarabu ni Kibulushi,Duh!shughuli inakuwa pevu hapa na mnyukano wa majina mara utasikia mburushi huku mmahara huku mshihiri kazi kwelikweli.
Hii ni elimu tosha ndugu!Hata mm
Thanks kwa ufafanuzi wako pamoja sana ndugu yangu .Mkuu mburushi sio mwarabu, ni mpakistani kutoka Baluchistani na Karachi,na lugha yao ya asili sio kiarabu ni Kibulushi,
Wayemeni ndio waarabu wa kwanza kabisa hapa Duniani kabla ya kugawanyika katika mataifa mbalimbali,yaani waarabu wote asili yao ni Yemen,Kwahiyo Mshihiri ni mwarabu kutoka Yemen
Poa Mkuu pamoja sana.Thanks kwa ufafanuzi wako pamoja sana ndugu yangu .