Kabila kubwa kwa kila nchi ya Afrika. TZ duh!!!!

Kabila kubwa kwa kila nchi ya Afrika. TZ duh!!!!

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
552
Reaction score
1,117
IMG_8469.png
 
Ni Africa au Sub Sahara?
Kwenye hiyo ramani visiwa vya comoro viko wapi!
Zanzibar!
Kuna mapungufu mengi.
Kwani point yako ni nini Mkuu?
 
Upuuzi tu.

Watu wanajadili maendeleo na teknolojia karne hio unaleta habari za makabila.

Grow up dude.
 
Upuuzi tu.

Watu wanajadili maendeleo na teknolojia karne hio unaleta habari za makabila.

Grow up dude.
Izo ni facts tu kama tukisema tuna simba; kwani nimesema Usukuma ndo uwe default idenitity ya watz?? Tumieni akili
 
Back
Top Bottom