Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Nimeona hii kitu kwenye tiGo leo...
Kwa kawaida mimi huwa ni wa mwisho kujiunga na hizi promo,naomba wale wazee wa kujilipua watupatie majibu kuhusiana na speed.Maana isijekuwa yale ya fokoda,baada ya 700mb,unapata kitu cha tortoise...
Wanasema unatuma neno:KABANG kwenda 15711 kwa tsh 9000/- Unapewa dk.300 kwenda mitandao yote na unlimited internet na sms kwa wiki moja.
Kwa kawaida mimi huwa ni wa mwisho kujiunga na hizi promo,naomba wale wazee wa kujilipua watupatie majibu kuhusiana na speed.Maana isijekuwa yale ya fokoda,baada ya 700mb,unapata kitu cha tortoise...
Wanasema unatuma neno:KABANG kwenda 15711 kwa tsh 9000/- Unapewa dk.300 kwenda mitandao yote na unlimited internet na sms kwa wiki moja.