K

K

tobycow

Senior Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
129
Reaction score
13
hivi unajua majina ya vitu vingi vitamu huanzia na k.kitumbua,,kuku,kababu, hebu kitaje hiko kingine unachokifikiria
 
Hata vitamu vingine vinaanza na M pia kama Machungwa,mananasi,mapera,mahindi,maembe,mapapai n.k
 
...samahani, nimekumbuka vingine vitamu na vinaanziwa na "T"....
....Tende...ulishawaza vingine
 
Back
Top Bottom