jocktan kiyombo
Member
- Aug 23, 2016
- 15
- 4
Najaribu kuunga doti.....hili ni jukwaa la matangazo madogo madogo, jamaa kaweka heading ya "K" nadhani wakubwa wenzangu mtakua mmenielewa hapa....alafu ndani kaweka picha msichana....alafu akasema anampenda dogo wake!!! mleta mada unataka kutuonyesha nini hapa???Penda sana dogo langu
Dogo punguza bangi na Viroba kama hujala vizuri.Penda sana dogo langu