Wakuu,
Ghafla nimepoteza morali baada ya binti niliyemtumainia kwamba huenda akawa mwenza wangu wa maisha kufunguka mahusiano yake ya nyuma! Nimekuwa nikichat naye, kuandikiana SMSs, kupigiana simu hata kutumiana emails. Alikuwa ameshaniingia akilini na kwenye nafsi kwa kiwango cha kutosha kwani ana vivutio na sifa zote nilizozihusudu.
Chokochoko nimeanza mie mwenyewe baada ya kutaka kujua mahusiano yake ya nyuma. Dah, mambo yalikuwa kama ifuatavyo:
mimi: Dear ni vema tukawekana sawa kuhusu mahusiano ambayo tumewahi kuwa nayo kabla hatujaenda mbali. Mimi nilishawahi kuwa na uhusiano na msichana mmoja zamani kidogo, mwaka 2010, tulikuwa marafiki nia zetu ilikuwa tuje kuoana lakini ilishindikana
yeye: How old are you, umekuwa na uhusiano na mwanamke mmoja tu!
mimi: Nina miaka xx, of course nilijaribu kuishi kwa kufuata maadili mema, hata huo uhusiano nia yangu ilikuwa tuje kuoana, vinginevyo ningeepuka kujihusisha
yeye: Mimi nimekuwa na uhusiano na wanaume sita, wawili nikiwa o-level, wawili a-level, mmoja chuo na mwingine baada ya kuingia uraiani. Kulikuwa na mahusaino mengine mafupi mafupi just for funny
mimi: Sasa mahusiano hayo yote yalikuwa na lengo gani, na yalikuwa yanaishaje?
yeye: Just kupeana good times tu, sikuwa serious, sasa nahitaji life partner
mimi: (Nikarudia tena) Yalikuwa yanaishaje?
yeye: Kuna sababu nyingi, boyfriend kukosa uaminifu, kuwa mgomvi, kushindwa kukusupport, au tu inafika time simfeel, yeah etc., (anaongea kama kitu cha kawaida na kuchomeka maneno ya kiingereza kama nilivyoandika hapo)
mimi: Sasa mahusiano mafupi mafupi yalichukua muda gani na marefu muda gani?
yeye: Mafupi mafupi, just months, marefu kuanzia mwaka mmoja na kuendelea, mengi yalikuwa yanaishia miaka miwili
mimi: Mafupi mafupi yalikuwa kama mangapi?
yeye: Sorry, I can't mention
mimi: (Nikawa mpole, halafu nina hasira ila yeye hakugundua) Dear, hii wewe unachukuliaje, ni kawaida?
yeye: Mbona kawaida sana tu, kuna wasichana wengine wanakuwa na wanaume kadhaa at a time! Lakini ni ujinga tu, ndio maana nimeachana na mambo hayo, I just want to get married
mimi: Sasa rafiki, katika haya mahusiano yote mimba ulikuwa unazikwepaje au una watoto?
yeye: Mimba sijawahi kupata, ni kuwa makini tu
mimi: Uko serious na haya uliyoyasema?
yeye: Honestly, this is pure truth my dear, nimeona ni vizuri nikuweke wazi ili kuepuka migongano baadaye
mimi: Kwani hii tabia ya kuwa na haya mahusiano yote unadhani umejifunza sehemu au ni kitu gani kilichosababisha uwe hivyo?
yeye: Hii mbona kawaida, this is biological
mimi: Poa basi tutaongea siku nyingine
yeye: Thanks dear, your welcome
Wadau nilipo hapa sina nguvu hasa nikizingatia kwa muda gani amekuwa kwenye mahusiano. K mileage na usage frequencies hapa zitakuwa juu mno!
Natamani kesho nitakapoamka (kama nitaweza) kuongea naye aje akanushe na kusema niliyokuambia jana ilikuwa ni utani tu, nilitaka kukupima! lakini kwa jinsi nilivyokuwa nikiongea naye sioni kiashiria chochote wala dalili kwamba alikuwa anatania.
Sasa wadau mliooa, wake zenu walifunguka kabisa kwamba walikuwa na mahusaino angalau na mtu mmoja labda kwa mwaka mmoja, miwili, mitatu n.k?
Hii kitu mnawezaje kuibeba kwenye mioyo, akili na nafsi zenu? Maana mie pamoja na ujasiri nilionao nimechoka, na nimelala sijui nitaamka lini!
Ghafla nimepoteza morali baada ya binti niliyemtumainia kwamba huenda akawa mwenza wangu wa maisha kufunguka mahusiano yake ya nyuma! Nimekuwa nikichat naye, kuandikiana SMSs, kupigiana simu hata kutumiana emails. Alikuwa ameshaniingia akilini na kwenye nafsi kwa kiwango cha kutosha kwani ana vivutio na sifa zote nilizozihusudu.
Chokochoko nimeanza mie mwenyewe baada ya kutaka kujua mahusiano yake ya nyuma. Dah, mambo yalikuwa kama ifuatavyo:
mimi: Dear ni vema tukawekana sawa kuhusu mahusiano ambayo tumewahi kuwa nayo kabla hatujaenda mbali. Mimi nilishawahi kuwa na uhusiano na msichana mmoja zamani kidogo, mwaka 2010, tulikuwa marafiki nia zetu ilikuwa tuje kuoana lakini ilishindikana
yeye: How old are you, umekuwa na uhusiano na mwanamke mmoja tu!
mimi: Nina miaka xx, of course nilijaribu kuishi kwa kufuata maadili mema, hata huo uhusiano nia yangu ilikuwa tuje kuoana, vinginevyo ningeepuka kujihusisha
yeye: Mimi nimekuwa na uhusiano na wanaume sita, wawili nikiwa o-level, wawili a-level, mmoja chuo na mwingine baada ya kuingia uraiani. Kulikuwa na mahusaino mengine mafupi mafupi just for funny
mimi: Sasa mahusiano hayo yote yalikuwa na lengo gani, na yalikuwa yanaishaje?
yeye: Just kupeana good times tu, sikuwa serious, sasa nahitaji life partner
mimi: (Nikarudia tena) Yalikuwa yanaishaje?
yeye: Kuna sababu nyingi, boyfriend kukosa uaminifu, kuwa mgomvi, kushindwa kukusupport, au tu inafika time simfeel, yeah etc., (anaongea kama kitu cha kawaida na kuchomeka maneno ya kiingereza kama nilivyoandika hapo)
mimi: Sasa mahusiano mafupi mafupi yalichukua muda gani na marefu muda gani?
yeye: Mafupi mafupi, just months, marefu kuanzia mwaka mmoja na kuendelea, mengi yalikuwa yanaishia miaka miwili
mimi: Mafupi mafupi yalikuwa kama mangapi?
yeye: Sorry, I can't mention
mimi: (Nikawa mpole, halafu nina hasira ila yeye hakugundua) Dear, hii wewe unachukuliaje, ni kawaida?
yeye: Mbona kawaida sana tu, kuna wasichana wengine wanakuwa na wanaume kadhaa at a time! Lakini ni ujinga tu, ndio maana nimeachana na mambo hayo, I just want to get married
mimi: Sasa rafiki, katika haya mahusiano yote mimba ulikuwa unazikwepaje au una watoto?
yeye: Mimba sijawahi kupata, ni kuwa makini tu
mimi: Uko serious na haya uliyoyasema?
yeye: Honestly, this is pure truth my dear, nimeona ni vizuri nikuweke wazi ili kuepuka migongano baadaye
mimi: Kwani hii tabia ya kuwa na haya mahusiano yote unadhani umejifunza sehemu au ni kitu gani kilichosababisha uwe hivyo?
yeye: Hii mbona kawaida, this is biological
mimi: Poa basi tutaongea siku nyingine
yeye: Thanks dear, your welcome
Wadau nilipo hapa sina nguvu hasa nikizingatia kwa muda gani amekuwa kwenye mahusiano. K mileage na usage frequencies hapa zitakuwa juu mno!
Natamani kesho nitakapoamka (kama nitaweza) kuongea naye aje akanushe na kusema niliyokuambia jana ilikuwa ni utani tu, nilitaka kukupima! lakini kwa jinsi nilivyokuwa nikiongea naye sioni kiashiria chochote wala dalili kwamba alikuwa anatania.
Sasa wadau mliooa, wake zenu walifunguka kabisa kwamba walikuwa na mahusaino angalau na mtu mmoja labda kwa mwaka mmoja, miwili, mitatu n.k?
Hii kitu mnawezaje kuibeba kwenye mioyo, akili na nafsi zenu? Maana mie pamoja na ujasiri nilionao nimechoka, na nimelala sijui nitaamka lini!