Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,519
- 55,173
Ifike mahali mtuache 😂😂😂😂😂Hahaha raia wa CCM. Hawa wanaofanya USAFI kila CHADEMA wanapotaka kuandamana kudai HAKI?
Ifike mahali mtuache 😂😂😂😂😂Hahaha raia wa CCM. Hawa wanaofanya USAFI kila CHADEMA wanapotaka kuandamana kudai HAKI?
Kwa mujibu wa Katiba ama?Jw ni jumla ya majeshi mbalimbali ikiwemo land force, nany, air force na Jkt. Nje ya hapo hakuna chombo kinaitwa jeshi. Chombo cha kiraia huwezi kukiita jeshi. Labda kama hufahamu jeshi ni nini.
Umejibu kitaalam mkuu na hilo ndilo jibu sahihi kabisaKwasababu hawana direct mission na raia, hata wao mngewachukia vibaya sana kama mnavyowachukia Polisi.
Mbumbumbu hajui chochote maskiniUnajidanganya kuwa jeshi halitumiki siyo? Hujui dunia wewe!
Ungeweka picha hapa tuone hiyo furaha ya kweli uliyoizungumzia.Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
Upendo hauokoi, uwezo ndio unaokoa.Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
We ni kilaza ungenyamaza nisingejua kama hauna akili haya hamna monitress kuna nini? Au na wewe ndo wale wajinga mnaoita montressKingereza hakina neno monitress acha ujinga
-Sikubaliani na weweHell to the big no my man, although sikupita mafunzo yao, but i have my friends, ndugu wako humo. Sisemi wote ni wabaya no kuna beat performing officers na askari ila mostly kuna hawa madudu wanayo yafanya , wangekuwa jwtz wangekuwa out long time. Kama si kuteteana sana na kubebana
Sera,sheria nyingi wamenakiri toka UK/German ingawa asilimia kubwa ni UKccm ndo imeweka madaraja/classes kwa majeshi yetu kuanzia kwenye mazingira yao mishahara na stahiki zingine
Uoga na unafiki ndio unaooneshwa na WaTz kwa jwtz, hakuna zaidi. WaTz wamepitishwa katika zama zilizowajengea uoga usiomithilika.Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.