JWTZ, nyie ndo walinzi wa Katiba, tuambieni mnasimama wapi?

JWTZ, nyie ndo walinzi wa Katiba, tuambieni mnasimama wapi?

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Kwa mara nyingi sana tumeandika humu kuhusu Uongozi wa CCM unavyoivunja na kuidharau Katiba yetu ila kila siku mmekuwa kimya.

Wameweka bungeni wabunge wasio na vyama baada ya kufukuzwa uanachama wao Chadema kinyume kabisa na Katiba na wakawalipa mamilioni ya fedha ya kodi za Wananchi.

Wamekamata, kuwaua, kuwaweka magerezani, kuwateka na kuwafira watu waliotekeleza uhuru wao wa kikatiba kutoa maoni kuhusu mwenendo wa nchi.

Wameyafunga makanisa na kuwazuia watu kutekeleza na kufaidi haki yao ya Kikatiba ya uhuru wa kuabudu.

Wamewakamata na kuzuia wasisafiri watu waliokuwa wanasafiri na kuwazuia kufaidi uhuru wao wa kikatiba wa kuenda popote wanapotaka

Sio hivyo tu saivi wanatoa rushwa waziwazi. Wananunua pikipiki na baiskeli na kuzigawa waziwazi kweupe kabisa kwa Wananchi ili waungwe mkono kwenye chaguzi. Rushwa za wazi kinyume na Sheria za Nchi.

Pamoja na yote haya nyie wenye kiapo cha kwanza cha kuilinda Katiba mmekaa tu hamfanyi lolote.

Sasaivi wameanza hadi wana CCM kulalamika kuwa Katiba inavunjwa. Sasa tuelezeni, inakuwaje Katiba mnayoilinda inavunjwa waziwazi na nyie mkiwepo?

Kwa nini hamchukui hatua?
 
Hivi unadhani hao ni redbrigade wa chadomo kwamba wanaamriwa na kamati kuu eti ee?

Ukikua utaacha..
Au unadhani mlivyogawanyika huko kamati kuu ndo na nchi ilivyo?

Acha u "k", acha uropokaji wa kutumia visungura..we saizi yako ni mahinyila, moza na ma "k" wenzio..
 
Kwa mara nyingi sana tumeandika humu kuhusu Uongozi wa CCM unavyoivunja na kuidharau Katiba yetu ila kila siku mmekuwa kimya.

Wameweka bungeni wabunge wasio na vyama baada ya kufukuzwa uanachama wao Chadema kinyume kabisa na Katiba na kuwalipa mamilioni ya fedha ya kodi za Wananchi.

Wamekamata, kuwaua, kuwaweka magerezani, kuwateka na kuwafira watu waliotekeleza uhuru wao wa kikatiba kutoa maoni kuhusu mwenendo wa nchi.

Wameyafunga makanisa na kuwazuia watu kutekeleza na kufaidi haki yao ya Kikatiba ya uhuru wa kuabudu.

Wamewakamata na kuzuia wasisafiri watu waliokuwa wanasafiri na kuwazuia kufaidi uhuru wao wa kikatiba wa kuenda popote wanapotaka

Sio hivyo tu saivi wanatoa rushwa waziwazi. Wananunua pikipiki na baiskeli na kuzigawa waziwazi kweupe kabisa kwa Wananchi ili waungwe mkono kwenye chaguzi. Rushwa za waI kinyume na Sheria za Nchi.

Pamoja na yote haya nyie wenye kiapo cha kwanza cha kuilinda Katiba mmekaa tu hamfanyi lolote.

Sasaivi wameanza hadi wana CCM kulalamika kuwa Katiba inavunjwa. Sasa tuelezeni, inakuwaje Katiba mnayoilindq inavunjwa waziwazi na nyie mkiwepo?

Kwa nini hamchukui hatua?
JWTZ hapa unawaonea na siyo kazi yao, wakiingia hapa itakuwa hapakaliki. Hapa shida ni hawa POLISI na Takukuru na Mahakama zetu vile vile na Bunge. JWT hawa kwa sasa waache
 
Uzuri ama ubaya wa CCM umeota mizizi pote, JWTZ wamo, Usalama wamo, Police wamo, Taasisi za Makanisa makubwa wamejichimbia, Mahakama wamo, vyama vyote vya wafanyakazi wamo, Taasisi kubwa za huduma za kijamii wamo, Vyama vya siasa vya upinzani wamo- yaani kupambana na CCM bila msaada wa wahisani ni kazi kubwa mno maana popote utakapoenda kulalamika unawakuta walewale wanakusubiri ila kwa sura tofauti.
 
PENGINE WATU HAMJUI KAZI ZA.JWTZ...

1. Kulingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977

Ibara ya 147 (1) na (2):

(1) Kutakuwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa madhumuni ya kulinda uhuru, mipaka, ardhi, watu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

(2) Jeshi hilo litaendesha shughuli zake kwa utii kwa Katiba, Serikali halali, na watu wa Jamhuri ya Muungano.

Kazi za JWTZ Kikatiba:

  • Kulinda uhuru wa taifa
  • Kulinda mipaka ya nchi
  • Kulinda ardhi na rasilimali za taifa
  • Kulinda watu wa Tanzania
  • Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Muungano

2. Kulingana na Sheria ya Ulinzi wa Taifa (The National Defence Act, 1966, Sura 192 ya Sheria za Tanzania)

Sheria hii inaunda msingi wa kisheria wa uanzishwaji, uendeshaji na nidhamu ya JWTZ.

Majukumu ya Kisheria ya JWTZ:

  • Kutoa ulinzi wa kijeshi dhidi ya mashambulizi ya nje.
  • Kutekeleza amri halali kutoka kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
  • Kushiriki katika misaada ya kibinadamu au shughuli za usaidizi ndani ya nchi au nje kwa mujibu wa kibali cha serikali.
  • Kuwakilisha nchi katika operesheni za kulinda amani za kimataifa (k.m. chini ya Umoja wa Mataifa au Umoja wa Afrika).
  • Kushiriki katika shughuli za ujenzi wa taifa kama vile ujenzi wa miundombinu (kwa mujibu wa maagizo ya serikali).
  • Kutoa mafunzo ya kijeshi na kimaadili kwa askari wapya.
3. Kazi Nyingine za JWTZ kwa Mujibu wa Sera ya Ulinzi ya Taifa

  • Kupitia sera ya ulinzi na maelekezo ya serikali, JWTZ pia hujihusisha na:
  • Kusaidia mamlaka za kiraia wakati wa majanga (kwa mfano mafuriko, tetemeko la ardhi, nk).
  • Kutoa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa vijana wa Kitanzania ili kuimarisha uzalendo na ukakamavu.
  • Kusaidia katika mapambano dhidi ya ugaidi au vitisho kwa usalama wa taifa.
  • Kushiriki katika ulinzi wa mazingira na kupambana na biashara haramu ya rasilimali kama vile ujangili.

4. Utii kwa Serikali na Katiba

JWTZ hairuhusiwi kuingilia siasa, na hufanya kazi chini ya mamlaka ya kiraia iliyo madarakani kihalali. Hii ina maana:

  • Hairuhusiwi kupindua serikali.
  • Hairuhusiwi kuchukua upande katika masuala ya kisiasa.
  • Utii wake ni kwa Katiba, si kwa mtu binafsi.
Nimekupa Elimu
 
Kwa mara nyingi sana tumeandika humu kuhusu Uongozi wa CCM unavyoivunja na kuidharau Katiba yetu ila kila siku mmekuwa kimya.

Wameweka bungeni wabunge wasio na vyama baada ya kufukuzwa uanachama wao Chadema kinyume kabisa na Katiba na kuwalipa mamilioni ya fedha ya kodi za Wananchi.

Wamekamata, kuwaua, kuwaweka magerezani, kuwateka na kuwafira watu waliotekeleza uhuru wao wa kikatiba kutoa maoni kuhusu mwenendo wa nchi.

Wameyafunga makanisa na kuwazuia watu kutekeleza na kufaidi haki yao ya Kikatiba ya uhuru wa kuabudu.

Wamewakamata na kuzuia wasisafiri watu waliokuwa wanasafiri na kuwazuia kufaidi uhuru wao wa kikatiba wa kuenda popote wanapotaka

Sio hivyo tu saivi wanatoa rushwa waziwazi. Wananunua pikipiki na baiskeli na kuzigawa waziwazi kweupe kabisa kwa Wananchi ili waungwe mkono kwenye chaguzi. Rushwa za waI kinyume na Sheria za Nchi.

Pamoja na yote haya nyie wenye kiapo cha kwanza cha kuilinda Katiba mmekaa tu hamfanyi lolote.

Sasaivi wameanza hadi wana CCM kulalamika kuwa Katiba inavunjwa. Sasa tuelezeni, inakuwaje Katiba mnayoilindq inavunjwa waziwazi na nyie mkiwepo?

Kwa nini hamchukui hatua?
Wamelewa pesa hao
 
PENGINE WATU HAMJUI KAZI ZA.JWTZ...

1. Kulingana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977

Ibara ya 147 (1) na (2):

(1) Kutakuwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa madhumuni ya kulinda uhuru, mipaka, ardhi, watu na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

(2) Jeshi hilo litaendesha shughuli zake kwa utii kwa Katiba, Serikali halali, na watu wa Jamhuri ya Muungano.

Kazi za JWTZ Kikatiba:

  • Kulinda uhuru wa taifa
  • Kulinda mipaka ya nchi
  • Kulinda ardhi na rasilimali za taifa
  • Kulinda watu wa Tanzania
  • Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Muungano

2. Kulingana na Sheria ya Ulinzi wa Taifa (The National Defence Act, 1966, Sura 192 ya Sheria za Tanzania)

Sheria hii inaunda msingi wa kisheria wa uanzishwaji, uendeshaji na nidhamu ya JWTZ.

Majukumu ya Kisheria ya JWTZ:

  • Kutoa ulinzi wa kijeshi dhidi ya mashambulizi ya nje.
  • Kutekeleza amri halali kutoka kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
  • Kushiriki katika misaada ya kibinadamu au shughuli za usaidizi ndani ya nchi au nje kwa mujibu wa kibali cha serikali.
  • Kuwakilisha nchi katika operesheni za kulinda amani za kimataifa (k.m. chini ya Umoja wa Mataifa au Umoja wa Afrika).
  • Kushiriki katika shughuli za ujenzi wa taifa kama vile ujenzi wa miundombinu (kwa mujibu wa maagizo ya serikali).
  • Kutoa mafunzo ya kijeshi na kimaadili kwa askari wapya.
3. Kazi Nyingine za JWTZ kwa Mujibu wa Sera ya Ulinzi ya Taifa

  • Kupitia sera ya ulinzi na maelekezo ya serikali, JWTZ pia hujihusisha na:
  • Kusaidia mamlaka za kiraia wakati wa majanga (kwa mfano mafuriko, tetemeko la ardhi, nk).
  • Kutoa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa vijana wa Kitanzania ili kuimarisha uzalendo na ukakamavu.
  • Kusaidia katika mapambano dhidi ya ugaidi au vitisho kwa usalama wa taifa.
  • Kushiriki katika ulinzi wa mazingira na kupambana na biashara haramu ya rasilimali kama vile ujangili.

4. Utii kwa Serikali na Katiba

JWTZ hairuhusiwi kuingilia siasa, na hufanya kazi chini ya mamlaka ya kiraia iliyo madarakani kihalali. Hii ina maana:

  • Hairuhusiwi kupindua serikali.
  • Hairuhusiwi kuchukua upande katika masuala ya kisiasa.
  • Utii wake ni kwa Katiba, si kwa mtu binafsi.
Nimekupa Elimu
Tuwakumbushe wajibu wao maana inaonekana hawajui jukumu lao la msingi hadi Mabalozi wanajiuru kwa sababu Katiba haizingatiwi.
 
Back
Top Bottom