TPDF_23
Member
- Jul 27, 2022
- 50
- 83
wanachukua tena mwezi wa pili bogi lingine hilo walochukua ni la military science kwa form six tu......lonza zilizopo mwezi wa pili kuna bogi lingine mkuuVijana wapo depo, mi mtoto wa braza yupo makutupora, wamechukua waliosoma sayansi wale form six waliomaliza jkt ya juz, wametangaziwa wanaotaka, vijana wameenda wengi wameogopa kwenda chuo kikuu alafu ajira hakuna, chuo kikuu wataendaga baada ya kulamba ajira.