Informer
Platinum Member
- Jul 29, 2006
- 1,613
- 6,735
Wakuu,
Naomba kizalendo tuliangalie hili, hivi ni sahihi kambi JWTZ kukosa umeme ni sahihi?
Haijalishi TANESCO wanaweza kuwa na mgao/grid kukorofisha lakini hili ni sahihi?
Naandika hivi wakati Lugalo jeshini pakiwa ni giza totoro na ikumbukwe pana hospitali pia (nako giza).
Mamlaka zijitafakari, hili halikubaliki
Naomba kizalendo tuliangalie hili, hivi ni sahihi kambi JWTZ kukosa umeme ni sahihi?
Haijalishi TANESCO wanaweza kuwa na mgao/grid kukorofisha lakini hili ni sahihi?
Naandika hivi wakati Lugalo jeshini pakiwa ni giza totoro na ikumbukwe pana hospitali pia (nako giza).
Mamlaka zijitafakari, hili halikubaliki