MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 887
Utaambiwa unaleta uchochezi.Wakuu,
Naomba kizalendo tuliangalie hili, hivi ni sahihi kambi JWTZ kukosa umeme ni sahihi?
Haijalishi TANESCO wanaweza kuwa na mgao/grid kukorofisha lakini hili ni sahihi?
Naandika hivi wakati Lugalo jeshini pakiwa ni giza totoro na ikumbukwe pana hospitali pia (nako giza).
Mamlaka zijitafakari, hili halikubaliki