Still ni tough one. Monaco wana forward line inayofunga magoli kweli kweli. Juve wao wanajivunia back line yao. Hii game ni 50/50. Kule upande wa pili nayo game ni ngumu kwa kweli. Ni 50/50 ingawa Madrid wao wanajivunia historia.jamani tume pangiwa Monaco
i can see Juventus in the final
ni kweliStill ni tough one. Monaco wana forward line inayofunga magoli kweli kweli. Juve wao wanajivunia back line yao. Hii game ni 50/50. Kule upande wa pili nayo game ni ngumu kwa kweli. Ni 50/50 ingawa Madrid wao wanajivunia historia.
Sempre Bianconeri.
Ile fainal ya 3-1 hakufunga?Katika uhai wake, Mbilikimo Lionel Nesi hajawahi kumfunga Gigi Buffon...
Hah hah hah NAFWAAAA
hakuwahi asee toka ana zaliwa hajamfunga baba BuffoniIle fainal ya 3-1 hakufunga?
sasa omar hapo unaanza kutuacha wale wa Italy wa TandaleSei bolognese? Tifi bianco nero ricorda c'e il Cesena
Ile fainal walifunga kina nanhakuwahi asee toka ana zaliwa hajamfunga baba Buffoni
Rakitic, Neymar na SuarezIle fainal walifunga kina nan
Ok, thanks bas haji kumfunga aisee, ila ktk makipa dunian buffon namkubali sana, toka world cup 2006. Ila inaonesha alikuwa vzr sana toka akiwa parma, mpaka Juve wakatoa hela ndefu.,kwa enzi zile,Rakitic, Neymar na Suarez
naskia juve ziliwatoka sana kwa kipindi hikoOk, thanks bas haji kumfunga aisee, ila ktk makipa dunian buffon namkubali sana, toka world cup 2006. Ila inaonesha alikuwa vzr sana toka akiwa parma, mpaka Juve wakatoa hela ndefu.,kwa enzi zile,