Juu ya DOWANS: Mwakyembe ashangaa kutaka kulipa matapeli

Nadhani ni wakati wa kuundwa kwa mswada ambao baadaye upitishwe na kuwa sheria ya KUNYONGWA kwa wale,viongozi na ambao si viongozi watakaopatikana na hatia ya UFISADI wa namna hii.To hell Human rights,hawa watu wanaoumiza watanzania wenye kulipa kodi kwa taabu kwa wao kujiwekea hazina za milele hapa duniani mpaka kwa watoto wa vitukuu vyao kwa njia hii,they DONT DESERVE TO LIVE AT ALL.

Naomba mchango wenu wana JF
 

Ile ilukwa Richmond si Dowans na hayo yalisemwa na wabunge, juzi tumeona humu JF Dowans wakiwashitaki Richmond huko Merekani, sasa hii mahakama ya Merekani nayo haina akili kukubali kampuni hewa zishitakiane, ukistaajabu ya Mussa...
 
katika sheria za biashara mmliki wa biashara na biashara ni vitu viwili tofauti hivyo dowans inaweza kuishtaki serikali endapo ni kampuni halali ila kwa kuwa sio halali haipaswi kwenda kuomba fidia kwani mkataba ule ni void

Sababu zilizokupelekea kusema Dowans si kampuni halali ni zipi? Haijasijiliwa? Haina wenyewe? Haina bodi? Haijafanya kazi iliokubaliana na Tanesco? Sijakuelewa, naomba fafanuwa.
 
Dogo kuwa gentleman/lady sometimes yaani mambo yamendikwa hapo juu lakini bado unataka tuu kuleta ubishi, nimeattach tena hayo maeneo yanayoelezea Dowans kuwa kampuni ya kitapeli as quoted from Mwakyembe.


Ile ilukwa Richmond si Dowans na hayo yalisemwa na wabunge, juzi tumeona humu JF Dowans wakiwashitaki Richmond huko Merekani, sasa hii mahakama ya Merekani nayo haina akili kukubali kampuni hewa zishitakiane, ukistaajabu ya Mussa...

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge kuchunguza suala la kampuni ya kufua umeme ya Richmond, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kuhoji uhalali wa kampuni ya Dowans, ambayo ni ya kitapeli kulipwa fidia kwa utapeli wake


 

Ununuzi ulipingwa baada ya mkataba wa Dowans na Tanesco kuvunjwa.

Kama mkataba haukuvunjwa ilikuwa Dowans hawana haja ya kushitaki, huwezi kushitaki mtu kwa kukataa kununuwa mali yako.

Mkataba ulivunjwa, Dowans wakatowa option, kama mkataba umevunjwa, nunueni basi hii mitambo, hilo likapingwa na likakataliwa. Dowans wakataka kuichukuwa mitambo yao kuiuza nje, na hilo likazuiliwa. Patamu hapao, na hivi tunavyolumbana ile mitambo kila inapokaa pale Tanesco bila kuitumia inazidisha hasara, service charge zinaendelea, ukiitumia usiitumie. Si umeizuwia wewe mwenyewe!
 
Siyo chanjo tu; wahitimu wa diploma za ualimu waliomaliza kozi zao mwezi May 2010 hawajaariwa had sasa, mradi wa vyandarua umeshachakachuliwa kwani sasa wanagawa viwili tu kwa kila familia na siyo kama walivyotangaza awali (kila kitanda chandarua moja). Ni mengi ndugu yangu!!
 

Kwa hili nakuunga mkono mia kwa mia. Hata kama mswaada hautapitishwa.

Serikali iunde team ambayo haiko biased na ya siri na itakayojumuisha watu wenye weledi wa hali ya juu. Kazi yake kuwa terminate wote wanaohusika na kadhia za rushwa. Wanaotowa na wanaopokea.
 
Jamani nimesoma hii post nikawa inrestested kuisoma tema ile hukumu hebu angalia ile page ya kwanza very contrivesial.....iliwahi kutumwa hapa na Mwanakijiji ninayoi lakini nimeshindwa kuaplod hapa.. msaada?
 
Hii sinema sijui inaisha lini maana naona mastering kwenye hii sinema wako wengi kweli kuliko maadui lakini kazi bado ngumu ngoma mbichi
 

Kazi kweli kweli halafu hili la TANESCO pia inabidi liangaliwe maana nimekuwa nikijiuliza hizo hela za kulipa hawa jamaa zitatoka wapi
 

Bado hujajibu swali langu???

Enywayz unaweza kuja na nukuu ya gazeti lolote likiwa na taarifa ya Sitta au Mwakyembe kusisitiza kuvunja mkataba kati ya Tanesco na Dowans?
 
Kansa ya watanzania wengi ni kupenda sana statements kama hizi, eti ndiyo shujaa huyu

alikuwa wapi wakati kesi inaendelea? alisema nini? na sasa kwa maneno yake anaweza kuzuia malipo,IF not forgets he is just like another Rostam in different shape!
 
Kansa ya watanzania wengi ni kupenda sana statements kama hizi, eti ndiyo shujaa huyu

alikuwa wapi wakati kesi inaendelea? alisema nini? na sasa kwa maneno yake anaweza kuzuia malipo,IF not forgets he is just like another Rostam in different shape!

Wanataka kuonekana na wao kuwa walikuwa wanakemea ishu ya Dowans wakati mwanzoni sijui walikuwa wapi
 
Hivi mtu unaweza kukemea ufisadi ukiwa bado uko CCM kweli???????
 
Kwa ufupi ni kuwa endapo Dowans watalipwa kama ilivyoamuriwa na serikali ya JK; na wakalipwa na ikajulikana wamelipwa fedha hizo basi Sitta na Mwakyembe watapaswa kujiuzulu nafasi zao katika Baraza la Mawaziri mara moja. It is as simple as that.

Kaka nimesoma post yako kwanza nimeshtuka, pili nimepiga yowe! Yu have nailed it!!!!

Hili watu wengi hawapendi kulisema hata kidogo, Mkataba aliweka nani, alivunja nani na ilikuwaje tumefika hapa! people dont what to tal this ukisema hili unaonekana na wewe FISADI..what a shame, tunajadili maafa badalan ya chanzo??

It is a painful to know that those we are claiming they are heros they are actually worse than Rostam

wakilipwa then swala la LOWASA litaanza kuangaliwa upya!!!!1 something is wrong somewhere
 
Dr mwakyembe tunajua wewe sio fisadi na walitaka kukuua lakini mungu akakunusuru -simamia umma na maslahi ya wengi wewe profile yako iko juu kiongozi wetu.
 
modez tunaomba button ambayo inawakilisha kila kitu (crap,upuuzi,ujinga,wendawazimu,mwehu etc..) ili mtu akibonyezewa ajijue maana naona mtatupiga bun sana kwa wapuuzi kama hawa ZOMBA ni mpumbavu..***** kabisaaaaaaaaaaa...
ngoja nikazike mashujaa kwanza..i will be back
 
Pipoz Pawa, mwaka huu tujiandae tu na uchaguzi mkuu, ngoja nirudi mapema nikaanze kampeni mapema!! nimeshaona dalili zote
 

We have failed to learn from similar previous cases! you are right!


Well said, aidha hao washtakiwe, wakilipwa kama alivyosema mwanakijiji waliovunja mkataba washtakiwe, Haponi mtu in either way!


well said, ni popularist and simply is dangerous than any other criminals! wo ndio waliotufikisha hapa, leo hii anasema sema tu na still kuna watu wanampigia makofi! poor Tanzanians!

LAT, Zomba ni Mtanzania tatizo lake he is realist wakati wengi humu ni ma populist wanafuata public opinion. Mimi ni kama Zomba, kwa hukumu ya ICC, tumeshikwa pabaya na hatuna pa kutokea and that is a fact!.

Yes that is a fact whether we take it or leave it, talking words wont help it, lets all people who have caused this to be accountable. The accountable people still they are on our back to appeasing us!!!! yet some people call them heroes what a shame

Is high time to differentiate btn politics and professional..Mwakyembe is a politician in this case not a leader so to speak ! if he is a leader were was he when this case was filed and listened in the court where was his stand before HUKUMU??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…