Nsemwas Junior
Senior Member
- Oct 23, 2009
- 173
- 60
Pasco pamoja na uelewa wangu mdogo wa sheria lakini nnakumbuka vizuri kipengele kinachosema hamuwezi kukubaliana kuvunja sheria. Hii maana yake nini? Nni kwamba mfano kima cha chini cha mshahara ni Tshs 90,000.00 Lakini mimi kwa shida zangu tukakubaliana na kusainishana kulipwa Tshs 50,000.00 Halafu say baada ya miaka 5 nikaibuka kukushtaki kunipunja mshahara hakuna mahakama itakayoamuru eti sina kesi kwa sababu tulisainishana. Kifupi ni kwamba mkataba wetu ulikuwa illegal.
Tuje kwenye Dowans, ukiisoma vizuri hoja ya Mwakyembe, objectively na bila ushabiki utagundua kwamba mkataba kati ya Tanesco na Dowans ulikuwa illegal, simply kwa sababu Dowans ni kampuni ya kitapeli na hilo lilithibitishwa na kamati ya bunge yeye akiwa mwenyekiti. Sasa sijaelewa hapo upopulist uko wapi. Please nieleweshe.
katika sheria za biashara mmliki wa biashara na biashara ni vitu viwili tofauti hivyo dowans inaweza kuishtaki serikali endapo ni kampuni halali ila kwa kuwa sio halali haipaswi kwenda kuomba fidia kwani mkataba ule ni void
Ile ilukwa Richmond si Dowans na hayo yalisemwa na wabunge, juzi tumeona humu JF Dowans wakiwashitaki Richmond huko Merekani, sasa hii mahakama ya Merekani nayo haina akili kukubali kampuni hewa zishitakiane, ukistaajabu ya Mussa...
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge kuchunguza suala la kampuni ya kufua umeme ya Richmond, Dk. Harrison Mwakyembe, ameibuka na kuhoji uhalali wa kampuni ya Dowans, ambayo ni ya kitapeli kulipwa fidia kwa utapeli wake
Dk. Mwakyembe alisema anasubiri kuona ICC ilimuonaje mmiliki wa Dowans Holdings SA, iliyosajiliwa nchini Costa Rica, ambako serikali ya nchi hiyo ilisema haimtambui kwa kuwa hana anuani wala ofisi.
ìKwenye kamati tulifanya utafiti wa kina na serikali ya Costa Rica ilitueleza mmiliki wa kampuni hiyo hajulikani kwa jina, ofisi, anuani ya posta wala namba za simu,î alisema.
Dk. Mwakyembe aliyewahi kuwa mwalimu wa sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, alisema walichoambulia Costa Rica ni kutajwa jina la Bernal Zamora Arse, anayemiliki kampuni takriban 100 zenye kuishia na SA, lakini hazielezi zipo jengo gani, nyumba ama kumiliki gari au pikipiki.
Walikutuma wewe uje ntafuta?
Mkuu huu ni upotoshaji makusudi kabisa nnachokumbuka kilichokuwa kikipingwa ni ununuzi wa mitambo ya Dowans na si masuala ya kuvunja mkataba. Yaani inakuwa kama haya mambo yalitokea mwaka 60, wakati ni juzi juzi tu. Enywayz unaweza kuja na nukuuya gazeti lolote likiwa na taarifa ya Sitta au Mwakyembe kusisitiza kuvunja mkataba kati ya Tanesco na Dowans?
Siyo chanjo tu; wahitimu wa diploma za ualimu waliomaliza kozi zao mwezi May 2010 hawajaariwa had sasa, mradi wa vyandarua umeshachakachuliwa kwani sasa wanagawa viwili tu kwa kila familia na siyo kama walivyotangaza awali (kila kitanda chandarua moja). Ni mengi ndugu yangu!!Kwanza wana jf nimepata tetesi mahala kwamba serikali haina stock ya chanjo ya watoto wala hawajaagiza na kwamba chache zilizopo zimebakisha wiki chache tu kuharibika.
Yeyote anayeweza kuopoa vya jikoni zaidi huko wizara ya afya juu ya madai nyeti haya yanayogusa moja kwa moja UHAI WA TAIFA LA KESHO.
Nadhani ni wakati wa kuundwa kwa mswada ambao baadaye upitishwe na kuwa sheria ya KUNYONGWA kwa wale,viongozi na ambao si viongozi watakaopatikana na hatia ya UFISADI wa namna hii.To hell Human rights,hawa watu wanaoumiza watanzania wenye kulipa kodi kwa taabu kwa wao kujiwekea hazina za milele hapa duniani mpaka kwa watoto wa vitukuu vyao kwa njia hii,they DONT DESERVE TO LIVE AT ALL.
Naomba mchango wenu wana JF
Ununuzi ulipingwa baada ya mkataba wa Dowans na Tanesco kuvunjwa.
Kama mkataba haukuvunjwa ilikuwa Dowans hawana haja ya kushitaki, huwezi kushitaki mtu kwa kukataa kununuwa mali yako.
Mkataba ulivunjwa, Dowans wakatowa option, kama mkataba umevunjwa, nunueni basi hii mitambo, hilo likapingwa na likakataliwa. Dowans wakataka kuichukuwa mitambo yao kuiuza nje, na hilo likazuiliwa. Patamu hapao, na hivi tunavyolumbana ile mitambo kila inapokaa pale Tanesco bila kuitumia inazidisha hasara, service charge zinaendelea, ukiitumia usiitumie. Si umeizuwia wewe mwenyewe!
Ununuzi ulipingwa baada ya mkataba wa Dowans na Tanesco kuvunjwa.
Kama mkataba haukuvunjwa ilikuwa Dowans hawana haja ya kushitaki, huwezi kushitaki mtu kwa kukataa kununuwa mali yako.
Mkataba ulivunjwa, Dowans wakatowa option, kama mkataba umevunjwa, nunueni basi hii mitambo, hilo likapingwa na likakataliwa. Dowans wakataka kuichukuwa mitambo yao kuiuza nje, na hilo likazuiliwa. Patamu hapao, na hivi tunavyolumbana ile mitambo kila inapokaa pale Tanesco bila kuitumia inazidisha hasara, service charge zinaendelea, ukiitumia usiitumie. Si umeizuwia wewe mwenyewe!
Enywayz unaweza kuja na nukuu ya gazeti lolote likiwa na taarifa ya Sitta au Mwakyembe kusisitiza kuvunja mkataba kati ya Tanesco na Dowans?
Kansa ya watanzania wengi ni kupenda sana statements kama hizi, eti ndiyo shujaa huyu
alikuwa wapi wakati kesi inaendelea? alisema nini? na sasa kwa maneno yake anaweza kuzuia malipo,IF not forgets he is just like another Rostam in different shape!
Kwa ufupi ni kuwa endapo Dowans watalipwa kama ilivyoamuriwa na serikali ya JK; na wakalipwa na ikajulikana wamelipwa fedha hizo basi Sitta na Mwakyembe watapaswa kujiuzulu nafasi zao katika Baraza la Mawaziri mara moja. It is as simple as that.
modez tunaomba button ambayo inawakilisha kila kitu (crap,upuuzi,ujinga,wendawazimu,mwehu etc..) ili mtu akibonyezewa ajijue maana naona mtatupiga bun sana kwa wapuuzi kama hawa ZOMBA ni mpumbavu..***** kabisaaaaaaaaaaa...Ukisikia mawakili pumba ndio hao. Kesi imeamuliwa ICC na mahakama ya hapa ni kusajili maamuzi, wangepinga huko ICC na si hapa, mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kufuta maamuzi ya ICC.
Wanajitafutia umaarufu lakini hawana kesi ya kushinda katika hili. Wangeshinda ingekuwa tu Dowans hawatimiza masharti ya mkataba.
The only way out ni kutangaza kuwa hatuwalipi Dowans na kuwalipa chini ya uvungu. Otherwise ya LONRHO na Nyerere yatajirudia.
Ukisikia mawakili pumba ndio hao. Kesi imeamuliwa ICC na mahakama ya hapa ni kusajili maamuzi, wangepinga huko ICC na si hapa, mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kufuta maamuzi ya ICC.
Wanajitafutia umaarufu lakini hawana kesi ya kushinda katika hili. Wangeshinda ingekuwa tu Dowans hawatimiza masharti ya mkataba.
The only way out ni kutangaza kuwa hatuwalipi Dowans na kuwalipa chini ya uvungu. Otherwise ya LONRHO na Nyerere yatajirudia.
Dowans wasipolipwa naomba mwanasheria mkuu,waziri wa nishati na madini,katibu mkuu,amiri jeshi,rex attoney firm,msemaji wa ikulu ,wote wanapaswa kupelekwa mahakamani kwa kujaribu kuhujumu uchumi. Pia waache nafasi zao wazi ili waadilifu waongoze taifa! Narudia kama dowans wasipolipwa kwa kugundua wazi kuwa ni vibaka na matapeli,na hawa hapa tajwa juu ni wenzao,waende nao!
Dr. Mwakiembe ni populist leader na very flamboyant when it comes to public interest sometimes mpaka anakuwa sensesional.
Wajameni nimeisoma hukumu ya ICC, ilichofanya ni kuidhinisha tuu vipengele vya mkataba ambao walikubali uamuzi wake ni wamwisho, hauna rufaa wala hauhojiwi na mamlaka yoyote!.
LAT, Zomba ni Mtanzania tatizo lake he is realist wakati wengi humu ni ma populist wanafuata public opinion. Mimi ni kama Zomba, kwa hukumu ya ICC, tumeshikwa pabaya na hatuna pa kutokea and that is a fact!.