Pasco;
ICC wakitoa hukumu lzm iende kwenye Mahakama Kuu ya nchi husika kusajiliwa na ndipo hapo walioshinda kesi watalipwa;Serikali kama inaona ilionewa na ina ushahidi wa madai yao inaweza ikaiambia Mahakama Kuu yake isiisajili kesi hiyo na hao DOWANS hawatalipwa!
Nchi nyingi tu duniani kwa kupitia Mahakama zake kuu zimewahi kukataza kusajiliwa kwa kesi za ICC na kutolipa wanao wadai na Tanzania inaweza fanya hivi maana DOWANS ilinunua mkataba kutoka RICHMOND kampuni ambayo Kamati teule ya Bunge iliwatangazia wa Tanzania kuwa ni ya kitapeli!
Kwa nini watanzania wawalipe hela matapeli,tuna sababu nzuri tu ya kuiambia ICC kuwa DOWANS hatuilipi maana ilichukua mkataba wa Richomond kampuni hewa isiyokuwepo duniani?
Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:
[URL="http://www.iccwbo.org/court/arbitration/id4584/index.html"]Arbitration[/URL]
Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.
he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply
Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award
Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...
Pasco;
ICC wakitoa hukumu lzm iende kwenye Mahakama Kuu ya nchi husika kusajiliwa na ndipo hapo walioshinda kesi watalipwa;Serikali kama inaona ilionewa na ina ushahidi wa madai yao inaweza ikaiambia Mahakama Kuu yake isiisajili kesi hiyo na hao DOWANS hawatalipwa!
Nchi nyingi tu duniani kwa kupitia Mahakama zake kuu zimewahi kukataza kusajiliwa kwa kesi za ICC na kutolipa wanao wadai na Tanzania inaweza fanya hivi maana DOWANS ilinunua mkataba kutoka RICHMOND kampuni ambayo Kamati teule ya Bunge iliwatangazia wa Tanzania kuwa ni ya kitapeli!
Kwa nini watanzania wawalipe hela matapeli,tuna sababu nzuri tu ya kuiambia ICC kuwa DOWANS hatuilipi maana ilichukua mkataba wa Richomond kampuni hewa isiyokuwepo duniani?
come rain ..come sun, go east.. go west.... Zomba wewe sio Mtanganyika
LAT, Zomba ni Mtanzania tatizo lake he is realist wakati wengi humu ni ma populist wanafuata public opinion. Mimi ni kama Zomba, kwa hukumu ya ICC, tumeshikwa pabaya na hatuna pa kutokea and that is a fact!.
Pasco you missed my point.... i stand to my point Zomba sio Mtanganyika i dont care Zomba preaches what... what i know zomba is a hate preacher
Nimezaliwa Tanganyika, jee wewe umezaliwa Tanganyika au Tanzania? Hisabu miaka yako halafu nijibu. Kwa sasa si Mtanganyika, ni mTanzania hakuna nchi duniani kwa sasa inayoitwa Tanganyika, ilikuwepo na ndipo nilipotokea mimi, Jee, wewe! Patamu hapo.
Sasa Tutamwona Real Owner wa Dowans Holding SA Ajitokeze Kama Kweli Yeye ni Mwanamme. Watanzania Hatutoi Pesa kwa Malipo Mpaka Tujue Maswala Yafuatayo:
- Aliopigia Debe au Lobby On Behalf of Dowans Holding Kuingia Mkataba na Tanesco ni Nani?
- Dowans Ilisajiliwa Vipi au Tender Process Ilifanikishwa Vipi?
- Aliesaini Mkataba na Kukubali Tanesco wa Saini na Dowans ni Nani? (Najua Jibu Rostam, Lowasa na JK Hawakosi)
- Alichukua Uamuzi wa Kwenda ICC Badala ya Kuchallange Validity ya Mkataba wa Tanesco na Dowans ni Nani (Najua Jibu JK na Rostam wapo hapa)
- Utaratibu Gani Ulitumika Kumpata Arbitrator wa Kuwakalisha Chini Tanesco na Dowans?
- Sababu Gani JK Kakaa Kimya ICC Ilipotoa Maamuzi?
- Kwanini Baraza la Mawaziri Alihusishwi Kabla ya Maamuzi ya Mwisho? (Hii Process ya Malipo Inafanyiwa Ikulu)
- Kwanini Wizara ya Nishati na Madini na Tanesco Wana Harakisha Kuwalipa Dowans Wakati Bei ya Umeme Imepanda na Pia Hakuna Umeme Wakutosha?
- Kwanini Serikali Inalipa Kipaumbele "Dowans" Wakati Wastaafu Wengi Hawajalipwa Miaka Mingi Sasa na Pia Wizara Nyingi Hakuna Pesa (Elimu na Afya)? Serikali Inatoa Wapi Pesa?
Hapa kwenye red umeshanipa jibu wewe ni nani..... nimemaliza
unatafutwa na madokta wa mirembe, ati ulitoroka kabla hujamaliza tiba @#%x*??!#$Ukisikia mawakili pumba ndio hao. Kesi imeamuliwa ICC na mahakama ya hapa ni kusajili maamuzi, wangepinga huko ICC na si hapa, mahakama ya Tanzania haina mamlaka ya kufuta maamuzi ya ICC.
Wanajitafutia umaarufu lakini hawana kesi ya kushinda katika hili. Wangeshinda ingekuwa tu Dowans hawatimiza masharti ya mkataba.
The only way out ni kutangaza kuwa hatuwalipi Dowans na kuwalipa chini ya uvungu. Otherwise ya LONRHO na Nyerere yatajirudia.
wewe zombe
mbona umekubali kununuliwa kwa bei ndogo kiasi hicho kutetea kila ovu la serikali huoni aibu?
Dr. Mwakiembe ni populist leader na very flamboyant when it comes to public interest sometimes mpaka anakuwa sensesional.
Wajameni nimeisoma hukumu ya ICC, ilichofanya ni kuidhinisha tuu vipengele vya mkataba ambao walikubali uamuzi wake ni wamwisho, hauna rufaa wala hauhojiwi na mamlaka yoyote!.
Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:
Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.
he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply
Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award
Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...
unatafutwa na madokta wa mirembe, ati ulitoroka kabla hujamaliza tiba @#%x*??!#$
Sasa wanaopiga debe Dowans isilipwe ndio hao waliopiga debe mkataba uvunjwe. Matokeo ndio haya. Na kila mtapodhani kutolipa ni ushindi, mjuwe mnajidanganyan mnajiongezea matatizo.