Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
WAPENDWA SANA,
taarifa mbaya kabisa ni kwamba yule mmoja wa wahanga wa ajali aliyekuwa hoi sana AMEFARIKI DUNIA.
sasa kwakuwa maskini_jeuri ndiye alikuwa dereva wa ile gari,ana ya kuendesha gari kwa vyovyote jamhuri itakavyoita(uzembe au vinginevyo) na kusababisha KIFO......!hivyo basi hapa ninavyowahabarisheni ni kwamba maskini_jeuri anaelekea Dodoma nyumbani kwake kwa ajili ya maandalizi na kujipanga kidogo,again jumanne ya tar 2/11/2010 ataripot kituo cha polisi morogoro na jumatano ni siku ya KESI mahakamani!
WITO WANGU:
TUmuombee Maskini_Jeuri mambo yake yaende vizuri lisije kutokea la kutokea!imani yetu tulio wengi ni kwamba ile ilikuwa ajali tu.
Tumuombee Maskini_Jeuri akipite kipindi hichi kigumu kwake na familia yake.I can imagine ''the hell of life'' he is going through kwa sasa.
Wenye GUTS zenu tunaomba msaada kama mnaweza kuweka ''mikono'' yenu kwenye hii issue maanake ''the way i look things'' ni kama jamaa yupo kwenye wakati mgumu kidogo.
Wasalaam,
Baba Gift
taarifa mbaya kabisa ni kwamba yule mmoja wa wahanga wa ajali aliyekuwa hoi sana AMEFARIKI DUNIA.
sasa kwakuwa maskini_jeuri ndiye alikuwa dereva wa ile gari,ana ya kuendesha gari kwa vyovyote jamhuri itakavyoita(uzembe au vinginevyo) na kusababisha KIFO......!hivyo basi hapa ninavyowahabarisheni ni kwamba maskini_jeuri anaelekea Dodoma nyumbani kwake kwa ajili ya maandalizi na kujipanga kidogo,again jumanne ya tar 2/11/2010 ataripot kituo cha polisi morogoro na jumatano ni siku ya KESI mahakamani!
WITO WANGU:
TUmuombee Maskini_Jeuri mambo yake yaende vizuri lisije kutokea la kutokea!imani yetu tulio wengi ni kwamba ile ilikuwa ajali tu.
Tumuombee Maskini_Jeuri akipite kipindi hichi kigumu kwake na familia yake.I can imagine ''the hell of life'' he is going through kwa sasa.
Wenye GUTS zenu tunaomba msaada kama mnaweza kuweka ''mikono'' yenu kwenye hii issue maanake ''the way i look things'' ni kama jamaa yupo kwenye wakati mgumu kidogo.
Wasalaam,
Baba Gift