kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Kikwete na Mizengo Pinda wameamua kwa makusudi kudhorotesha matumizi ya haki, na kuwaaacha watanzania wengi wakiwa wamenyimwa haki zao za msingi.
Je bado watanzania tunahitaji utawala wa hawa wala-watu tena?
Ni lini haki itatendwa dhidi ya mali za mtanzania?
Ni lini atapatikana msimamizi wa haki ya mtanzania wa kweli?
Wenye uchungu wa kweli na kizazi cha mtanzani wakati ni huu wa kupigania haki.
mapinduzi yote duniani yaliletwa na baadhi ya watu waliojitoa mhanga kwa ajili ya wengi.
Kama vile, Yesu, Martin luther,Nelson mandela,Sara wiwa,
Mkwawa, nk.
Ni nani yuko tayari kuwasaidia watanzania hata ikimpasa kufa????
Je bado watanzania tunahitaji utawala wa hawa wala-watu tena?
Ni lini haki itatendwa dhidi ya mali za mtanzania?
Ni lini atapatikana msimamizi wa haki ya mtanzania wa kweli?
Wenye uchungu wa kweli na kizazi cha mtanzani wakati ni huu wa kupigania haki.
mapinduzi yote duniani yaliletwa na baadhi ya watu waliojitoa mhanga kwa ajili ya wengi.
Kama vile, Yesu, Martin luther,Nelson mandela,Sara wiwa,
Mkwawa, nk.
Ni nani yuko tayari kuwasaidia watanzania hata ikimpasa kufa????