brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 900
Fikiria kwa ubongo, hiyo notice ulishawapa wachina?
Wazanzibar hata kama muungano ukivunjia leo, nyumba watawapa watoto wao ambao kiheria ni watanganyika.
Kwa hiyo wazee watarudi Zenji au wataomba permit kama wageni wengine na nyumba zao zitakuwa za watoto wao.
Kama ulikuwa unangojea dezo, yaguju.
ZNZ kwanza upuuzi baadae.
hakuna Uraia kila mtu kwao nyambavu