Wazenj maneno mengi yatawa-cost wanawafuata wale Wanasiasa?!
Hembu mods futa uzi wa kibaguzi huu, USA ukiongelea ubaguzi wa kujitenga kwa kajimbo kamoja ww ni muhaini sisi mbona tunaacha vichaa wanavomit wapendavyo?
Muungano ni Nguvu utengano ni Dhaifu. Sikuzote tuzungumzie namna ya kuuboresha Muungano na sio namna ya kujitenga. Wamenufaika nn waliojitenga na Russia ama USSR yenyewe imefika wapi baada ya utengano?
Wazanzibar ni ndugu zetu lazima tujifunze kuendelea kuishipamoja. Wazee wetu waliwezaje na sie tunashindwaje, mbona hiki kizazi kinataka kuleta laana ya utengano?
Lets talk abt African Unit not separation of URT.
Viva Tanzania.
Jamani vipi? Si kuna URAIA wa NCHI MBILI ? Au hamtaki tena?
By the way yeyote atakaye kuwa akihishi au kuzaliwa Tanganyika by the day ya Kuzaliwa/Independence mpya ya Tanganyika atakuwa Raia wa Tanganyika.
kwani kuna ubaya gani muungano ukifa zikabaki kama nchi rafiki tatizo lipo wap
Hapo umeona mbali sana.....
Hivi unawezaje Kuanza Kuwagusa wapemba na Waunguja bila Kuamsha Hisia za Waislamu na watu wa Pwani ambao wana ukaribu mkubwa na watu wa visiwani ?
Yanii hii ngoma itaanza hivi....
Mchaga mmoja atamgusa mpemba....then itatafsiriwa ni ishue ya kidini....then waislamu watawagusa wachaga na wakirsto....
Kwa sabubu waislamu wapo makabila mbalimbali...wakurya wa kikirsto wataona wazaramu wa kiislamu ndio wabaya..
wakurya wa kikirsto watawagusa wazaramu wa kiislamu...
Wazaramu wa Kikirsto wataungana na wakurya wa Kikirsto zidi ya wa wazaramu wenzao....
Wakurya wa kiislamu wataanza kutembeza kichapo kwa wakurya wa Kikirstio ....
Mapigano kisha yatahamia baina ya koo na koo familia na familia...mtu na baba yake mwisho mtu na mdogo wake.
Mkuu,kisa mfumo kristo?
hahahhaaa Mpwa twawajazia nguruwe mjini kwasababu mwazila na mwazipenda, isingekua hivyo zisingejaa ati, prove me wrong.Safi sana Dawa imekuingia....
Pumbavu mmoja.......inaonyesha mchana huu teyari mbege zishakulevya ....kazi mnatujazia nguruwe mjini...
Bata mzinga
hahahhaaa Mpwa twawajazia nguruwe mjini kwasababu mwazila na mwazipenda, isingekua hivyo zisingejaa ati, prove me wrong.
Wewe ushapoteza Network..ngoja timua timua zianze...tutawapandisha hao nguruwe wawe ndio usafiri wenu kurejea kwenye mapango yenu...
Lazima wale mdudu Tu kudadekiiii
duh haya Mpwa usiku mwema bhana, ngoja nirudi huko pangoni kwangu nikapumzike nyie wenye nyumba laleni kwa amani