johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,898
Tunakumbushana tu kwamba hizo ndio Jumuiya za CCM tokea kitambo hapo zinazovuma ni UVCCM na UWT
JUWATA ndio Tucta na ina wabunge wa viti maalumu kwenye bunge la JMT wanaosimamia maslahi ya wafanyakazi
Kabla ya kulalamika Jifunze kwanza historia ya hicho unacholalamikia
Sabato yenye baraka!
JUWATA ndio Tucta na ina wabunge wa viti maalumu kwenye bunge la JMT wanaosimamia maslahi ya wafanyakazi
Kabla ya kulalamika Jifunze kwanza historia ya hicho unacholalamikia
Sabato yenye baraka!