Jumba la gorofa linauzwa Bunju

Jumba la gorofa linauzwa Bunju

Mkuu. Ukiwa tajiri kuna protocol zake.. Ukipenda kujiongele sana utaishia kuiboa jamii.. So inabidi ukizungumza unazungumza in 3rd person or in prural... Ukipenda kujiongelea kwa mf useme 'nimejenga ghorofa' haileti picha nzuri kwa audience...
.....hahahahahaha....'tajiri' wewe kwa kuhamisha magoli kiboko!
..ila nadhani umejifunza;usipende kuwa kiroporopo mtoto wa kiume!
.ndo mana tumepewa koromeo!
 
ina maana hii nyumba ina thaman kubwa kuliko lile ghorofa alilonunua diamond south Africa? madalali tuoneeni huruma

Mkuu nyumba ni finishing, wenzetu material nyingi sana zinatengenezwa kule kule, pia wana price regulatory Authority ambayo inafanya kazi vizuri, yaani wanaangalia bei anayopanga muuzaji then wanatafiti kama haimuumizi mnunuaji. Sasa bongo kila kitu wanapanga wao na material nyingi tunaagiza nje, pia hakuna bei ilekezi toka serikalini ya kuwa limit hawa macapitalist. Ndio maana nyumba bondeni inaonekeana bei ndogo na inatofautiana na bongo.

Anyways, sisapoti bei aliyoweka jamaa hapo juu maana imekosa uhalisia.
 
View attachment 441522 View attachment 441523 View attachment 441525

Ujenzi wake umefikia asilimia 75 (%). Lipo mashallah! Lina vyumba vinne vya kulala vyote vina vyoo na mabufu yake NA chumba kikubwa au masta chenyewe kina ile kitu inaitwa “walk in closet” yaani kuna chumba kidogo cha makabati na choo na bafu pamoja na sehemu ya Jacuz..kuna jiko na stoo, sebure kuwa na sehemu ya kulia chakula…juu ya nyumba kuna kibaraza kikubwa… na ukiwa hapo unaitazama bahari ya Hindi na kuhusikilizia upepo wake. Pia kuna chumba maalum kwa ajili ya kusomea na TV.

Uzuri mwingine wa nyumba hii imejengwa vizuri kiasi kwamba mwangaza wa jua na hewa vinaingia, pia kiwanja chake kina ukubwa wa 1900 mita za mraba na kina hati miliki.
Kiwanja kipo katika maeneo yaliyopimwa na kupangiliwa no Squatters

Bei tshs 400mil. Maelewano yapo. Mawasiliano kwa njia ya sms au kupiga 0755312233 na 0784225000 kwa whatsapp au email: info@kitomai.com

NYUMBA HAIPO TENA SOKONI
 
Hivi kweli unaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa kuna fundi anayeweza kukujengea nyumba mpaka stage hiyo kwa sh mil 15?

Take note of these things:
Nyumba imepigwa plaster.
Nyumba imepakwa rangi
Nyumba imefanyiwa plumbing
Nyumba imewekwa grill chini
Nyumba imefanyiwa wiring (see the hanging wires)
Nyumba imewekewa tiles (see the veranda)
Nyumba ni ya ghorofa

Tathmini yako haina uhalisia hata robo. Actually namhurumia anayeuza nyumba yake katika hatua hiyo kwa sh mil. 400. Hakuna faida ya maana atakayopata.

Hapo kwenye ufundi, makadirio reasonable would be :
Kuchora ramani mil
Msingi mil 4.2
Kunyanyua mil 1.7
Slab mil 3.5
Kunyanyua juu mil 1.5
Paa mil 1.5
Grill 0.4 (just fitting)
Plaster mil 10
Rangi mil 4.5
Wiring 0.6
Plumbing mil 1
Tiles (kama ziko kote) 1.5 mil

Hii ni jumla ya 31.4 mil kwa makadirio ya chini bila kujumlisha kazi za hapa na pale kama ulinzi, kubeba materials, kufumua mbao, kubeba maji na nyingine. So to be safe, pesa ya ufundi hapo utenge kati ya mil 45-50 ili kufikia hatua hiyo.


Hivi mbona huwa hamjumlishi gharama za maji kwenye ujenzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom